• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

Historia

Utangulizi

Wilaya ya Kibiti ni mpya iliyogawanywa kutoka Wilaya ya Rufiji na kutangazwa katika Gazeti la Serikali (GN) Na. 433 B. la tarehe 25/09/2015 na kuanza kutekeleza majukumu yake mwaka wa fedha 2016/2017.


Eneo na Mipaka 

Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti ipo Mashariki ya Tanzania Bara katika ukanda wa Pwani ya bahari ya Hindi. Wilaya ina eneo la ukubwa wa kilometa za mraba 3,854 sawa na asilimia 11.4 ya eneo lote la Mkoa wa Pwani. 

Wilaya imepakana na Wilaya ya  Mkuranga  upande wa kaskazini, Upande wa Kaskazini magharibi imepakana na Wilaya ya Kisarawe, Wilaya ya Mafia na Bahari ya Hindi – upande wa Mashariki, Wilaya za Kilwa na Rufiji – upande wa Kusini. (Ramani hapo chini) .

Ramani ya Kibiti


Maeneo ya Kiutawala

Wilaya ya Kibiti ni miongoni mwa Wilaya Saba (7) zinazounda Mkoa wa Pwani. Kiutawala Wilaya imeundwa na Halmashauri 1, Jimbo la uchaguzi 1, tarafa 3 (Mbwera, Kikale na Kibiti) , Mamlaka ya Mji Mdogo 1, Kata 16, Vijiji 58 na Vitongoji 269. (Tazama jedwali Na. 1).

Jedwali Na. 01: Maeneo ya  Kiutawala Wilaya ya Kibiti

S/N
Tarafa
Idadi ya Kata Kata
Idadi ya Vijiji
Idadi ya Vitongoji
1
Mbwera
4
12
55
2
Kibiti
9
33
161
3
Kikale
3
13
53
 
Jumla
16
58
269

 

Idadi ya Watu.

Kwa mujibu wa Sensa ya watu na makazi iliyofanyika mwaka 2012, Wilaya ilikuwa ina jumla ya watu  122,648  (Wanaume 59,168 na Wanawake 63,480).

Kwa kasi ya ongezeko la watu kwa asilimia 1.9, maoteo ya mwaka 2022, Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti inakadiriwa kufikia watu 147,048 (wanaume 71,422 na wanawake 76,626).

Jedwali Na. 02:  Idadi ya Watu Kikata.

Na.
KATA
IDADI YA WATU KWA JINSIA
KAYA
Wanaume
Wanawake
Jumla
Idadi
Wastani
1 Kibiti
7,150
8,006
15,156
3,597
4.2
2 Bungu
8,884
9,835
18,719
4,101
4.6
3 Mahege
2,831
3,137
5,968
1,347
4.4
4 Mchukwi
3,411
3,590
7,001
1,601
4.4
5 Dimani
2,701
2,744
5,445
1,251
4.4
6 Mtawanya
3,251
3,521
6,772
1,469
4.6
7 Mjawa
5,606
6,439
12,045
2,726
4.4
8 Mlanzi
2,549
2,667
5,216
1,119
4.7
9 Mwambao
2,662
2,520
5,182
1,241
4.2
10 Mtunda
3,998
4,137
8,135
1,685
4.8
11 Ruaruke
3,450
3,779
7,229
1,642
4.4
12 Salale
4,462
4,614
9,076
1,817
4.8
13 Mbuchi
2,992
3,033
6,025
1,366
4.4
14 Kiongoroni
2,433
2,463
4,896
1,085
4.5
15 Maparoni
1,062
1,145
2,207
501
4.5
16 Msala
1,726
1,850
3,576
790
4.5
 
Jumla
59,168
63,480
122,648
27,338
4.4

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KANALI KOLOMBO:SERIKALI INATAMBUA MCHANGO WA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI

    June 12, 2025
  • PPRA KANDA YA PWANI YATOA MAFUNZO KUHUSU SHERIA YA UNUNUZI WA UMMA NA MFUMO WA KIELEKTRONIKI WA UNUNUZI WA UMMA

    June 12, 2025
  • KANALI KOLOMBO AIPONGEZA MARINE PARKS KUANZISHA MIUNDOMBINU YA KUHIFADHI NA KULINDA MATUMBAWE BAHARINI

    May 10, 2025
  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.