• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

Afisa Elimu Sekondari ameongoza Majadiliano ya kujengeana uwezo wa Kitaaluma

Posted on: January 9th, 2023

Tarehe 9/01/2023 Baadhi ya Walimu wa  shule za Sekondari za Wilaya ya Kibiti wamekutana katika ukumbi wa Halmashauri kujadili namna ya kupeana uzoefu wa utungaji wa mitihani na ujibuji wa maswali ikiwa ni kikao kazi chenye mkakati wa kuongeza uelewa na ufaulu wa mitihani kwa Wanafunzi wa Sekondari.

Akiongoza mkutano huo Afisa Elimu Anna Shitindi amesema lengo la kukutana ni kubadilishana uzoefu ili kuwajengea Walimu wengine uelewa waweze kuendana na mfumo mpya wa “Compitence based approach” baada ya kuhama katika mfumo wa zamani (content based) kutokana na wengi wao kutopata mafunzo hayo.

“Tushikamane, tushirikiane kuhusu kujikwamua ili tuweze kufikia malengo”alisema Shitindi.

Hata hivyo Shitindi amewaagiza Walimu wote kuhakikisha wanakutana na  wanafunzi kuwapa mwelekeo wa namna ya kujibu maswali wakati wa mitihani  kwa kufuata mpangilio mzuri ambao utasaidia wanafunzi kufanya vizuri  na kupata ufaulu.

Katika mkutano huo ulioendeshwa Kwa njia ya majadiliano Walimu wamesema wanakutana na changamoto nyingi katika mazingira ya kazi kubwa zaidi ni kutoka kwenye Jamii inayowazunguka .

Vilevile wamesema changamoto nyingine zinazofanya wanafunzi wasifaulu ni uelewa mdogo wa lugha ya kufundishia, walimu kutomaliza silabasi,wanafunzi kutofanya mzoezi ya kutosha darasani,Walimu kutokuwa na mbinu mpya za ufundishaji na zaidi ni upungufu wa vitabu vya kufundishia mashuleni. Na upungufu wa walimu ukilinganisha na idadi kubwa ya wanafunzi.

Aidha baada ya majadiliano Afisa Elimu Shitindi na Walimu wote katika kikao hicho ili kufika malengo kwa pamoja wameazimia kuwa tayari kubadilishana uzoefu wa namna ya kutunga maswali kwa mfumo wa Compitence based approach, kutia mkazo katika somo la lugha ya kingereza kwa Walimu na wanafunzi katika kufundisha na kujifunza na kuzingatia kufundisha kulingana na Mazingira yanayowazunguka (realia).

Vile vile wameazimia kuzingatia matumizi ya vitabu vya kiada kutoka (TET), wanafunzi kusisitizwa kuzingatia maelekezo ya mtihani, Walimu kuhakikisha wanamaliza mada zilizopangwa wa muda muafaka, wanafunzi kujibu maswali ya mtihani kwa kuzingatia mpangilio mzuri wa kazi na majibu yanayosomeka bila kuacha swali na kuunda vikundi vya wanafunzi wenye uelewa wa juu na wenye uelewa wa chini kwa lengo la kuwaunganisha ili waweze kusaidiana wao kwa wao  n.k.

Katika Mkutano huo mwisho Walimu wamegawana majukumu kwa kugawiwa katika makundi tayari kwa kuwezesha Walimu wengine kuanza kubadilishana uzoefu .

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.