• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

AFISA LISHE ATOA MWONGOZO WA MLO KAMILI KWA WAJAWAZITO NA WAZAZI WENYE WATOTO WADOGO.

Posted on: March 31st, 2023


31/3/2023.

Katika kuadhimisha siku ya afya na lishe ya Kijiji, Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti imeendelea na zoezi la kutoa elimu  kwenye Jamii juu ya umuhimu wa lishe na namna ya  kuandaa lishe yenye mlo kamili.

Akitoa mwongozo wa ulaji Afisa Lishe wa Wilaya Ndg, Samson Minja amesema kila mtu awe mkubwa au mdogo anapaswa kula vyakula vya aina mbalimbali kutoka katika makundi tofauti ya vyakula kila siku ili aweze kuwa  na afya  njema na mwenye nguvu kwani, chakula cha mchanganyiko husaidia mwili kupata virutubisho vyote vinavyohitajika mwilini.

Vilevile Minja amesema katika kuhakikisha ukuaji mzuri wa mtoto, baada ya kuzaliwa anatakiwa kunyonya maziwa ya mama yake kwa miezi 6 bila kumpa chakula cha nyongeza kwasababu maziwa ya mama ni kinywaji na chakula pekee chenye virurubisho vyote muhimu kwa ajili ya ukuaji wa mtoto kimwili na kiakili.

Hata hivyo Minja amefafanua kwamba,baada ya mtoto aliyezaliwa kutimiza miezi 6,ni wakati muafaka wa kuanza kupewa chakula mchanganyiko ikiwa ni pamoja na jamii ya kunde,matunda,mbogamboga na matunda huku akiendelea kunyonya maziwa ya mama mpaka atakapotimiza miaka 2-3 kwa afya bora yenye ukuaji mzuri wa mtoto kimwili na akili pia.

Aidha Afisa lishe huyo amewaelekeza wazazi na wajawazito namna ya kuandaa lishe iliyosheheni mlo kamili kwani wengi wao huandaa lishe yenye vyakula vya kundi moja pekee bilakujua kama wamefanya hivyo.

“Kila unapoandaa lishe bora hakikisha una Mahindi ya njano ambayo hayajakobolewa,soya iliyokobolewa robo,mbegu za za maboga robo na ufuta robo” alisema Minja huku akisisitiza kwamba,ukitengeneza lishe yenye aina hizo 4 za vyakula, utakuwa umeandaa lishe iliyojitosheleza.

Mwisho Minja amewataka wazazi/walezi kuhakikisha wanatunza vyakula katika mazingira  makavu yenye hali ya usafi na usalama.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.