• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

BAKWATA WILAYA YA KIBITI WAWASHIKA MKONO WAATHIRIKA WA MAFURIKO SHEKHE WA WILAYA ASISITIZA KUWA NA MOYO WA HURUMA.

Posted on: May 16th, 2024

15.5.2024

Shekhe Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Thabit Mlindo akiwa ameambatana na Kaimu Mwenyekiti na Katibu wa Bakwata (w) wamemkabidhi misaada ya kibinadamu Mkuu wa Wilaya ya Kibiti kwa ajili ya kuwapa pole waathirika wa mafuriko wilayani humo, sambamba na kutoa pole kwa nchi nzima kwa wananchi waliopatwa na Mafuriko.

Misaada iliyotolewa ni nguo mchanganyiko mafurishi 8, ndoo 1  tupu ya lita 20, ndoo ndogo 7 za lita 10, sufuria PC 5, bakuli PC 3 na vikombe PC 3.


Akikabidhi misaada hiyo Shekhe Thabit ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Amani (W) amesema msaada huo ni sehemu ya harambee ya michango kutoka Ofisi ya Bakwata na waumini (wananchi) walioguswa kuwapa pole ndugu zao katika kipindi hiki cha mafuriko. 


Katika kuiunga mkono Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Shekhe Thabit ametoa wito kwa wanajamii wengine kuendelea kuguswa na kuwafariji waliofikwa na changamoto hiyo kwani kusaidiana ni sehemu ya Ibada hivyo binadamu wanapaswa kuhurumiana.

"Tuchangie na kuwahudumia wenzetu kwa kuwakumbuka na kuwahurumia kwa sababu maandiko yanasema anayehurumia naye uhurumuwa na Mwenyezi Mungu" Alisema.


Akipokea msaada huo Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo akiwa ameongozana na Kamati ya Ulinzi na Usalama (W) amewashukuru Bakwata kwa msaada walioitoa na kuonyesha moyo wa huruma kwa waathirika wa Mafuriko hayo yaliyotokana na kuongezeka kwa maji katika mto Rufiji kutokana na mvua kubwa zilizonyesha nchini.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.