• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

WAFANYABIASHARA WILAYANI KIBITI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA Z UWEKEZAJI.

Posted on: January 23rd, 2023

Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Kibiti  Meja Edward Gowele amewataka wawekezaji,wafanyabiashara na sekta binafsi  wa Wilaya ya Kibiti kutumia fursa ya bonde la mto Rufiji kuzalisha mazao kwa wingi kwani hekari 400 zilizopo zinafaa kwa kilimo.

“Tumieni fursa ya bonde la mto Rufiji kuzalisha mazao kwani , hekari takribani 400 zilizopo zinafaa  kwa kilimo”Alisema Gowele .

Amesema hayo alipokuwa kwenye kikao cha Baraza la Biashara la wilaya lililofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri hiyo ambapo wadau wote kwa pamoja wameridhia ajenda zote zilizokuwa zikijadiliwa.

Meja Gowele ambaye ndiye alikuwa Mwenyekiti wa Baraza hilo amesema licha ya changamoto zilizopo, shirikianeni kwa pamoja huku akisisitiza wajumbe kutumia fursa ya Baraza hilo kugusa maeneo muhimu kwa njia ya majadiliano kutatua changamoto huku akisisitiza Taasisi za TARURA, TANESCO n.k kutafuta namna Bora itakatotumika kufikisha huduma kwenye maeneo ya uwekezaji.

“baraza hili ni halali na muhimu liko kisheria, hivyo sekta binafsi, sekta za umma, tumieni fursa za Baraza la biashara kukuza kipato ukiachilia mbali changamoto zilizopo” Alisema Gowele.

Awali Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Kibiti Mohamed Mavura ambaye ndiye alikuwa Katibu wa Baraza hilo alitangulia kusema ni wakati wa wafanyabiashara na wawekezaji wa Kibiti kuchangamkia fursa zilizopo ikiwa ni sambamba na kuanzisha maghala ya kuhifadhia mazao na vinu vya kukobolea kwani katika ngazi ya Wilaya kuna matarajio makubwa ya kuvuna mazao mengi hususani katika zao la mpunga .

“Tuna hekari zipatazo 8500 za mpunga zimelimwa tunatarajia kuvunja Kiasi kikubwa cha mazao” alisema Mavura.

Kutokana na uwekezaji huo Mavura amesema Serikali kupitia ngazi ya Wilaya inapambana kutafuta maeneo Kwa ajili ya uwekezaji na wakati huo huo akaisisitiza Taasisi ya Tanesco  kwenda mkupuka kuona namna ya kuweza kufikishwa umeme katika eneo hilo la Viwanda .

Vilevile Kwa upande wa yatokanayo na kikao kilichopita kuhusu uwekezaji maagizo yamezingatiwa  hususani upande wa uwekezaji Halmashauri imekwisha bainisha maeneo ya uwekezaji katika Kijiji cha Mkupuka hekari 25 na hekari 5533 katika Kijiji cha Muyuyu kwa ajili ya uwekezaji, mazimio mengine yalikuwa ni upandaji wa miti, kusimamia sheria zilizopo n.k yamezingatiwa ipasavyo.

Akielekeza fursa zilizopo kwenye maeneo ya uwekezaji Wilaya ya kibiti Afisa Biashara  Sadelick Kihongosi amesema, Kibiti ina fursa nyingi za uwekezaji kama kilimo cha umwagiliaji katika zao la mpunga na miwa, fursa ya kilimo cha Ufuta, chikichi, alizeti, mihogo na matunda. Vilevile amesema kuna fursa ya uwekezaji wa hoteli za kitalii hasa ukanda wa visiwani (delta) katika maeneo ya Jaja, Simbaulanga na Nyamisati. Mbali na fursa hizo pia amesema kuna uwekezaji katika uvuvi na ufugaji wa samaki kwa kutumia mabwawa, unenepeshaji wa ng’ombe na uanzishwaji wa Ranchi za mifugo.

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya Kibiti Ramadhani Mpendu, amewashukuru wadau wote na wataalamu kushiriki kikao hicho na kusisitiza upendo katika utendaji, huku akisema wadau wapaishe nembo ya kibiti kwa kufanya maendeleo na kuwa wazalendo kwa Wilaya yao,

Aidha baadhi ya wadau kwa nyakati tofauti wameomba kuboreshewa na kurahisisha upatikanaji wa vitendea kazi ambavyo ni changamoto kubwa hususani kwenye Uvuvi, Kwa upande wa nyamisati kuboresha kiwanda kilichopo kwani kinafanya kazi Kwa kusuasua ili  kiweze kutoa huduma stahiki  kwenye jamii, pia kuhakikisha mtambo wa kuzalisha barafu unakuwa imara.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.