• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

BARAZA LA MADIWANI

Posted on: September 29th, 2022

Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti ikiongozwa na Mwenyekiti wake Ramadhani Mpendu aliyeongoza Baraza la Madiwani kupitisha na kujadili taarifa za Hesabu za mwisho za Halmashauri ya Kibiti kwa mwaka wa fedha 2021/2022 lililofanyika  tarehe 29/9/22 katika ukumbi wa Halmashauri hiyo .

Katika mkutano huo waheshimiwa Madiwani wamepitisha mchakato wa ufungaji wa ripoti za hesabu za mwisho za Halmashauri  hiyo kwa mwaka wa fedha 2021/22 zinazoishia tarehe 30 june 2022  uendelee kwa ajili ya kuwasilisha katika ofisi ya ukaguzi wa Taifa.

Naye Diwani wa kata ya Kibiti Hamidu Ungando katika mkutano  huo amesema  Halmashauri ya wilaya ya kibiti imeandaa hesabu za mwisho wa mwaka kwa kipindi cha mwaka 2021 /22 na hesabu hizo zimeandaliwa kwa kuzingatia viwango vya kimataifa

Halmashauri ya wilaya ya kibiti ina jumla ya waheshimiwa madiwani 22  ambapo 16 ni wa kuchaguliwa na 06  ni wa kuteuliwa Pamoja na mhe, Mbunge ambaye yuko madarakani kwa kipindi cha miaka 5. Baraza la madiwani limekuwa likikaa vikao vyake mbalimbali vya kawaida kwa kila robo ya mwaka na vikao maalum kwa ajili ya kuamua mambo muhimu yanayohusu uongozi na utawala bora.

Hata hivyo kamati ya ukaguzi ya Halmashauri kupitia vikao vyake vya kila mwaka na vikao maalum vilivyofanyika imekuwa ikishauri kitaalam mambo yote muhimu ya Halmashauri ikiwa ni Pamoja na sheria na kanuni zinazotumika.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.