• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

BARAZA LA MADIWANI KIBITI LARIDHIA MWEKEZAJI JENGA TANZANIA LIMITED KUPEWA HEKARI 15,444.

Posted on: June 18th, 2024

Baraza la Wahe. Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti limeagiza mwekezaji Jenga Tanzania kupewa hekari zote zilizopatikana ili aweze kuanza haraka uwekezaji wa kilimo cha alizeti Wilayani humo.

Mwekezaji huyo aliomba kupatiwa hekari 20,000 kwaajili ya uwekezaji wa Kilimo cha Alizeti na kujenga kiwanda cha kukamua mafuta ya alizeti lakini ardhi iliyopatikana ambayo imetengwa kwaajili ya uwekezaji ni hekari 15,444 pekee. Hivyo Wahe. Madiwani wameridhia Mwekezaji huyo kupewa ardhi hiyo yote.

Hayo yamejiri tarehe 14.6.2024 katika kikao cha Baraza la Madiwani la robo ya tatu kwa mwaka wa fedha 2023/2024 kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ambapo walikuwa wakijadili taarifa za utekelezaji wa majukumu ya kamati za kudumu kwa robo ya tatu (Januari-Machi, 2024).

Madiwani wote kwa pamoja wameridhia na kuzipitisha taarifa za kamati zote.

Awali akifungua kikao hicho Mwenyekiti wa Baraza hilo Mhe. Ramadhan Mpendu ametoa pole kwa wananchi wote walioathiriwa na Mafuriko, sambamba na kutoa shukrani kwa Serikali na wadau mbalimbali kwa kuwapatia misaada katika kipindi hicho. Pia ametoa pongezi kwa Mheshimiwa Mbunge wa Jimbo la Kibiti, Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mkuu wa Wilaya ya Kibiti pamoja na watumishi wote kwa namna walivyojitoa kuwasaidia waathirika wa mafuriko Wilayani humo.

Mbali na hayo pia Mhe. Mpendu amewataka wananchi wa Kibiti kuendelea kufanya palizi katika mashamba yao ya Korosho katika kipindi hiki ili kujihakikishia mavuno ya kutosha msimu wa zao hilo ukifika, hata hivyo amewasisitiza wananchi/wakulima wote katika msimu huu wa ufuta kuhakikisha  wanapeleka ufuta kwenye maghala yaliyoandaliwa kwa ajili ya Mauzo.

Naye Katibu Tawala Wilaya ya Kibiti Bi. Maria Katemana akitoa Salam za Serikali kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya amesema Mkuu wa Wilaya ya Kibiti, Kanali Joseph Kolombo amewashukuru viongozi wote wa Wilaya kwa namna walivyotoa ushirikiano katika shughuli za Mwenge wa Uhuru na katika janga la Mafuriko ambapo mpaka sasa Kambini zote zimebaki kaya 178 kati ya 436 zilizokumbwa na Mafuriko.

Pia Kanali Kolombo ameipongeza Kamati ya elimu na wadau wa Elimu kwa kuchangia madawati, viti na meza ambapo Leo 14.6.2024 NMB wametoa madawati 100 katika shule ya Msingi Kitundu na kusisitiza zoezi hilo kuwa endelevu. Na katika salamu nyingine amesema, Serikali zimesisitiza kuwepo kwa utaratibu mzuri wa  kuwapa maeneo wawekezaji kwa maendeleo ya wa Wilaya.

Aidha Bi. Katemana amesema Mkuu wa Wilaya ameagiza na kusisitiza Idara ya kilimo, Viongozi wa Kata na vijiji kusimamia vizuri zoezi la ugawaji wa mbegu tayari kwa kupandwa hususani kwa wakazi wa delta na waliofikwa na Mafuriko, ambapo mpaka sasa tumekwishapokea tani 5 za mpunga na Tani 3 za mahindi kutoka Wizara ya Kilimo kupitia Wakala wa mbegu Morogoro (ASA).

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.