• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

BODI YA KOROSHO KUGAWA PEMBEJEO KWA MFUMO WA KIDIGITALI KWA WAKULIMA.

Posted on: July 4th, 2023


Tukiwa katika kipindi cha kudhibiti mikorosho  kwa ajili ya msimu mpya Bodi ya korosho imekutana na Kamati ya ulinzi na usalama Wilaya ya kibiti  kutoa uelewa na  mwongozo wa usambazaji wa pembejeo za ruzuku kwa wakulima wa Korosho nchini msimu wa 2023/24 Kwa mfumo wa kidigitali.

"Tumeona kabla ya zoezi kuanza tuonane na Kamati ya ulinzi na usalama, ili tuwape uelewa wa usambazaji, mtusaidie kudhibiti pembejeo panapokuwa/ panapotokea viashiria vya uchepushaji wa pembejeo" Alisema Mkangara.

Akiwa katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri  Mkurugenzi Msaidizi tawi la Dar es salaam Bi Domina Mkangara akimwalilisha Mkurugenzi wa bodi ya korosho Tanzania  amesema,  kupitia mfumo huo kila mkulima aliyejisajili atapata pembejeo zake zote kwa pamoja kama alivyojisajili kwani lengo la Serikali ni kuhakikisha kila mkulima anapata kinachostahili kulingana na idadi ya miti ya mikorosho aliyoorodhesha.

"Kila mkulima atapata pembejeo kupitia idadi ya miti aliyoorodhesha kwenye shamba lake" Alisema Mkangara.

Vilevile Bi Mkangara amesema kwa mwaka wa msimu wa 2023/24  malengo ya Serikali ni kuzalisha Tani 400,000 na tani 700,000 ifikapo mwaka 2025/26 za korosho hivyo Kuna kila sababu ya kuongeza tija kwa kutoa pembejeo ambapo wakulima wadogo wataweza kuhudumia mikorosho yao kwa asilimia 100% na wakubwa asilimia 66% kwa kuweza kupuliza miti 4 kati ya 6.

"Serikali imeamua kuwapunguzia makali wakulima wadogo kwa 100a%  na kwa wakulima wakubwa kwa 66% kulingana na utaratibu wa ugawaji wa ruzuku"Alisema Mkangara.

Akielekeza namna ya kutumia mfumo huo wa kidigitali Bi Mkangara amesema, kila mkulima aliyejisajili atapewa namba yake ya Siri itakayomsaidia kuingia kwenye mfumo kupitia Viongozi wa Amcos, ambao tayari wamekwishapewa mafunzo kuweza kutumia App maalum iliyoandaliwa ambayo itaonyesha anachostaili kulingana na idadi ya miti aliyoainisha wakati wa usajili.

Hata hivyo Afisa kilimo Wilaya ya Kibiti ameipongeza bodi kwa kuanzisha mfumo huo huku akisisitiza kuhakikisha majina ya waliosajiliwa yanabandikwa mapema ili waliochaguliwa kujitambua mapema na kufuata taratibu stahiki kwa usahihi kama vile kuwa na vitambulisho,lessen au barua kutoka kwa Mwenyekiti wa Kitongoji itakayomtambulisha.

Aidha akifunga kikao hicho  Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo amewapongeza Wataalam kwa wasilisho zuri la kitaalam huku akiwaagiza kuhakikisha zoezi hilo linaanza mapema ili kupunguza na kutatua changamoto zinazoweza kujitokeza wakati zoezi likiendelea .

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.