• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

BODI YA KOROSHO YAWANOA MAAFISA UGANI KIBITI KUELEKEA MSIMU MPYA WA KOROSHO.

Posted on: March 26th, 2024

22.3.2024.

Baada ya kuonekana kuwepo kwa taarifa zisizo na uwazi katika usajili na uchukuaji wa pembejeo kidigital, Bodi ya Korosho imeendesha mafunzo ya usajili wa pembejeo kwa wakulima kwa lengo la  kuhuisha taarifa zao (data) , kuweza kupata takwimu zinazotambua ukubwa wa mashamba na idadi ya miti iliyopo shambani.

Akiendesha mafunzo hayo Afisa Tehama wa Bodi ya korosho Ndg. Gerald  Rogathe amesema mafunzo hayo yatawasaidia kupata kanzidata za wakulima wote wa korosho Wilayani Kibiti kwa haraka huku wakitarajia kuwa itakuwa ni njia nzuri ya kupata taarifa sahihi za mashamba , mikorosho na wakulima kwa ujumla.

Afisa huyo amesema, usajili unaofanywa sasa kwa njia ya kidigitali utawasaidia kufanya maandalizi ya ugawaji wa pembejeo tayari kwa kuanza kwa msimu mpya wa kilimo kwa mwaka 2023/2024 ambapo wamejipanga kuanza zoezi hilo mwishoni mwa mwezi wa nne mwaka huu.

Aidha Afisa Kilimo Ndg.  Mrisho Mnobwe amewasisitiza maafisa ugani  kujitahidi sana kuhakikisha kazi zinafanyika kama ilivyoelekezwa  na  kuhakikisha pembejeo zinawafikia wakulima kwa wakati tayari kwa kuanza maandalizi ya kilimo ikiwa ni pamoja na kuanza upuliziaji wa miti ya mikorosho.

Upande wao mabwana shamba (maafisa ugani) wamesema, mafunzo hayo yatawasaidia kusimamia zoezi la makarani liweze kwenda vizuri na kupeleka taarifa sahihi ngazi ya Wilaya, wakati Makarani wakisema yamewasaidia kuelewa  namna ya kusajili wakulima wa korosho na kuwaweka kwenye mfumo ili waweze kutambua takwimu zilizo sahihi kwa urahisi.

Mafunzo hayo yamehusisha maafisa ugani na Makarani watatu kutoka katika kila Kijiji.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KANALI KOLOMBO AIPONGEZA MARINE PARKS KUANZISHA MIUNDOMBINU YA KUHIFADHI NA KULINDA MATUMBAWE BAHARINI

    May 10, 2025
  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.