• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

CCM YANG’ARA UCHAGUZI MDOGO WA UDIWANI MLANZI – MHE. MKETO DIWANI MPYA MLANZI.

Posted on: March 21st, 2024

Msimamizi wa Uchaguzi jimbo la Kibiti Ndg. Hemed S. Magaro amwemtangaza Bw. Athumani Ally Mketo aliyekuwa Mgombea wa Udiwani Kata ya Mlanzi kupitia Chama Cha Mapinduzi kuwa ndiye Mshindi wa Udiwani Kata hiyo.

Akitangaza matokeo hayo Bw. Magaro alisema, Wapiga kura waliojiandikisha walikuwa ni 4,370. Idadi halisi ya waliojitokeza kupiga kura ni 1,744. Kura halali zilizopigwa ni 1,732 na kura zilizoharibika ni 12. Jumla ya wagombea 8 walijitokeza kugombea nafasi ya Udiwani katika Kata ya Mlanzi ambapo matokeo yalikuwa kama ifuatavyo:

Bw. Hamisi Ngatakwa wa UMD alipata kura 1, Bw. Juma Maramuah wa UDP alipata kura 3, Bw. Said Bambo wa Demokrasia Makini alipata kura 3, Bw. Mzuzuri Sadick wa NRA alipata kura 9, Bw. Amiri Mwambasafu wa ACT Wazalendo alipata kura 15, Bw. Yusuphu Mbolembole wa UPDP alipata kura 18, Bw.Hamis Makitia Abdallah wa CUF alipata kura 91 na Bw. Athumani Ally Mketo wa CCM alipata kura 1,592. Hivyo basi Bw. Mketo ameshinda kwenye uchaguzi huo kwa asilimia 91.9 ya kura halali zilizopigwa. 

Baada ya kutangaza matokeo hayo Msimamizi wa Uchaguzi alimkabidhi cheti cha Ushindi Bw. Mketo papohapo. Nao wagombea na wawakilishi wa Vyama vyote vya upinzani vilivyoshiriki walisema wameridhishwa na mwenendo wa Uchaguzi huo kwani ulikuwa wa huru na haki. Wameyapokea matokeo na kumpongeza mshindi.

Uchaguzi huo umefanyika jana Jumatano, tarehe 20 Machi, 2024.

Hongera sana Mh. Athumani Ally mketo kwa kuchaguliwa kwa Kishindo kuwa Diwani wa Kata ya Mlanzi, Kazi iendeleee….

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KANALI KOLOMBO AIPONGEZA MARINE PARKS KUANZISHA MIUNDOMBINU YA KUHIFADHI NA KULINDA MATUMBAWE BAHARINI

    May 10, 2025
  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.