• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

DC KOLOMBO AAGIZA WAFUGAJI KUFUATA SHERIA.

Posted on: July 24th, 2023

.


MKUU wa Wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo amekutana na wananchi wa Kata ya  Mtunda katika kikao maalum kusikiliza, kujadili na kutatua kero za matukio mbalimbali zinazotokea katika Kata hiyo ikiwa ni pamoja na suala la wafugaji.

Akiwa katika Kijiji cha Mtunda B ambako mkutano huo umefanyika, Kanali Kolombo, amewataka wafugaji wa Kata ya Mtunda kuishi kwa kufuata sheria taratibu na kanuni  za  vijiji na vitongoji wanavyoishi wakiwa na  mifugo yao kwa amani bila kuleta migogoro.

"Suala la kuhamisha wafugaji ni gumu, nitawapeleka wapi? Kikubwa wafugaji fuateni sheria na taratibu zilizopo muishi Kwa amani, Sina pa kuwapeleka" Alisema Kolombo.

Vile vile amesema kutokana na mrundikano wa malalamiko ya  kesi takribani 28 mahakani, Kanali Kolombo ameagiza kuanzishwa kwa Mahakama inayohama katika Jengo la Mahakama ya Kikale ndani ya Kata hiyo ili iweze kupunguza kesi zilizopo Kwa wakati na kuwapunguzia mwendo mrefu wakazi hao ambao hutegemea Mahakama ya Kibiti.

Hata hivyo Mkuu huyo wa Wilaya amepiga marufuku kitendo cha kutembea na silaha mitaani ikiwa ni pamoja na marufuku ya   kuachia ng'ombe usiku katika mashamba ya watu.

Aidha Kanali Kolombo amewataka wakazi wote wa Mtunda na vitongoji vyake kutoa ushirikiano na kulipokea zoezi la uanzishwaji wa ranchi ndogo za wafugaji (vitalu) ambao unakwenda kuwa suluhisho la malumbano ya wakulima na wafugaji.

" Uanzishwaji wa ranchi ni suluhisho la migogoro kati ya wafugaji na wakulima lipokeeni, hii itawajengea na kurejesha mahusiano mazuri ambayo yamelegalega Kwa muda mrefu "Alisema Kolombo.

katika mkutano huo, Mkuu wa Wilaya aliambatana na Kamati ya ulinzi na usalama pamoja na wataalam wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti kutoka idara ya mifugo, Ardhi, pamoja na Uongozi wa Mkoa unaoendesha zoezi hilo.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.