• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

DC KOLOMBO AONGOZA MAADHISHO YA 59 YA MUUNGANO WILAYANI KIBITI

Posted on: April 26th, 2023


KURUGENZI FC YATOKA KIDEDEA KWA KUFUNGA BAO 1-0.

Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo na Mgeni rasmi wa sherehe za Muungano Wilayani Kibiti ashuhudia bonanza la kumbukizi ya miaka 59 ya Muungano 2023 akiwa ameambatana na viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali wameadhimisha sherehe za Muungano kwa kushuhudia michezo mbalibali katika uwanja wa Samora.

Katika mtanange huo timu ya Kurugenzi FC Mbele ya Mwajiri wao ndg, Mohamed Mavura, iliibuka kidedea na kujipatia bao la ushindi dhidi ya wapinzani wao wa timu ya Microfinance Traders FC kwa kuitandika bao 1-0.


Katika mechi hiyo bao la ushindi lilifungwa na mchezaji nambari 7 mgongoni Omari Mucky na kuwatuliza Microfince traders mnamo dk ya 8 mara tu baada ya mchezo kuanza. Mpaka mpira unamalizika wapinzani hawakuweza kufurukuta na kuifanya Kurugenzi FC kujinyakulia ushindi huo.

Vilevile kulikuwa na mchezo wa kuvuta kamba kwa wanaume na wanawake kati ya timu hizo, ambapo kwa upande wa wanaume Microfinance ilifanikiwa kuizidi nguvu Kurugenzi FC na kwa upande wa wanawake kurugezi FC ikawa mshindi katika shindano hilo.

Licha ya michezo hiyo pia, kulikuwa na mashindano ya kukimbiza kuku ambapo kwa upande wa wanaume Shabani Mchengo aliibuka mshindi huku kwa upande wa wanawake Aziza Mpeli ndiye aliyeshinda na kila mmoja akapata zawadi ya sh. 10,000.

Hata hivyo mashindano hayo yalinogeshwa na zoezi la kukuna nazi kati ya Sakina Njoro na Omari Mbonde mkazi wa kitembo na wote kutoka droo na kujinyakulia sh. 10,000 kila mmoja.

Awali katika majira ya asubuhi Viongozi, Watumishi, Taasisi, Wanafunzi na Wananchi walishiriki zoezi la kupanda miti katika eneo linalozunguka bwawa la Lumiozi ikiwa ni sehemu ya kuendelea kulinda na kuhifadhi vyanzo vya maji vilivyopo.

Kwa mwaka 2022/2023 wilaya ya Kibiti imefanikiwa kupanda jumla ya miche 1,101,216 ya miti katika maeneo mbalimbali ndani ya Wilaya. Kaulimbiu ya upandaji miti mwaka huu imebeba ujumbe usemao, “Mazingira yangu,Nchi yangu, Naipenda daima”.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.