• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

DC KOLOMBO AZINDUA ZOEZI LA UTOAJI WA MIKOPO YA 10% KIBITI.

Posted on: November 24th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo amekabidhi hundi ya sh 25,500,000 kwa vikundi 5 vilivyokidhi vigezo ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kutaka kuhakikisha anapunguza umasikini katika jamii na kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi.


" Ninamshukuru Mhe. Rais kwa kutoa mkopo huu, ndg zangu tumieni fursa hii kuhamasishana kuchukua fedha ili muweze kujiendeleza kiuchumi" Alisema.

Hata hivyo Kanali Kolombo ameiagiza pia Idara ya maendeleo ya jamii kuwafikisha mahakamani Wanavikundi ambao hawatafanya marejesho kwani masharti ya mkopo huo ni pamoja na kurejesha.

Kwaupande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti Mhe. Ramadhan Mpendu amewasihi wananchi kuhakikisha wanafanya marejesho ili fedha hizo zikaweze kukopeshwa vikundi vingine ambavyo havijabahatika kupata katika awamu hii.

 Awali Afisa Mikopo wa Wilaya Bi. Sarah Ndumula amesema katika robo hii Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti imetenga jumla ya kiasi cha fedha cha sh 466,221,556.52 ambapo tayari wamepokea maombi 24 yenye thamani ya sh . 312,678,000.

Licha ya hayo pia amesema vikundi 5 kati ya 9 vilivyokidhi vigezo vilihakikiwa vikiwa na maombi yenye thamani ya sh 123, 320,000.00 ambapo mpaka sasa Halmashauri imetenga jumla ya sh 281,927,225.48.kwa ajili ya mikopo hiyo.

Mwisho Bi. Sarah amesema ili kupata mkopo kikundi kinapaswa kusajiliwa kwenye mfumo kielekroniki wa wezesha portal na mpaka sasa wamekwishafanya usajili wa vikundi 113, vikundi 66 vimekamilisha usajili, 22 viko katika mchakato wa usajili, 25 havikukidhi vigezo ambapo vimeelekezwa kufuata taratibu.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KANALI KOLOMBO AIPONGEZA MARINE PARKS KUANZISHA MIUNDOMBINU YA KUHIFADHI NA KULINDA MATUMBAWE BAHARINI

    May 10, 2025
  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.