• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

HALI YA HEWA YAENDELEA KUWATESA WAKULIMA WA KOROSHO

Posted on: December 8th, 2023

Tarehe 6.12.2023 Mnada wa nne katika msimu wa korosho Mkoa wa Pwani ulifanyika wilayani Kibiti ukiwa na wazabuni wannne licha ya suala la changamoto ya unyevu kuendelea kuwatesa wakulima kutokana na mvua zinazoendelea.

Katika mnada huo jumla ya Kg. 234,990 za korosho daraja la kwanza zimeuzwa kwa bei ya wastani ya sh 1,506.25 na Kg. 375,906 za daraja la pili zikiuzwa kwa bei ya wastani ya sh. 1,166.41 baada ya kuchakatwa na wakulima wote kuridhia kuuza.

Katika minada yote mpaka sasa Wilaya ya Kibiti imeonekana kuwa kinara wa kuuza Tani nyingi zaidi ikilinganishwa na Wilaya nyingine ambapo kwa siku hiyo pekee wameuza Kg. 415, 867, Mkuranga Kg. 165,358 na Rufiji ikiuza Kg. 6153.

Mbali na kufanyika kwa mnada huo, Meneja wa Corecu Mkoa wa Pwani Ndg, Hamis Mantawela amewasisitiza wakulima na viongozi wa AMCOS kujitahidi kuhakikisha korosho zote zimechambuliwa na kuanikwa vizuri kabla ya kufikishwa ghalani kwani korosho mbovu hupoteza ubora wake sokoni.

"Mpaka sasa hatujapokea mamalamiko yeyote, tujitahidi tusiingize korosho ambazo hazina ubora tafuteni kipima unyevu mpime kabla ya kufikisha ghala kuu." Alisema Mantawela huku akifafanua kuwa changamoto ya unyevu inajulikana kote.

Naye Meneja wa Bodi ya korosho inayosimamia Mkoa wa Pwani na Dar es Salaam Bi. Domina Mkangara amesema pamoja na changamoto ya hali ya hewa makusanyo ya korosho bado yanaendelea na wakulima wanajitahidi kuzingatia ubora kuhakikisha hawapotezi masoko.

Bi Mkangara amesema wanaendelea kuwaasa wakulima kuhakikisha wanaanika korosho zao pindi hali ya jua inapokuwepo ili viwango vya ubora viendelee kuwepo. Pia amewasisitiza wanunuzi kuendelea kujitokeza kwani korosho bado zipo katika kiwango kizuri.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.