• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

HAPI: PITISHENI WAGOMBEA WENYE SIFA KUGOMBEA NYAZIFA MBALIMBALI KATIKA CHAGUZI ZIJAZO.

Posted on: September 23rd, 2024

22.09.2024.

Wakati tukijiandaa kuelekea katika Uchaguzi  wa Serikali za mitaa Novemba 27 mwaka huu na Uchaguzi Mkuu hapo mwakani Katibu wa Jumuiya ya Wazazi Taifa Ndg. Ally Hapi amesisitiza kuchagua Viongozi makini huku akikipigia debe Chama cha Mapinduzi kupigiwa kura kwa wingi ili kiweze kuendelea kushika dola na kuleta maendeleo nchini.

"Ninapenda kuwakumbusha kukiunga mkono chama Cha Mapinduzi katika chaguzi za serikali za mitaa, vijiji na vitongoji, pamoja na uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwakani”.

Hayo yamesemwa Jana septemba 22, 2024 na Katibu huyo wa Jumuiya ya Wazazi Taifa Mhe. Ally Hapi alipokuwa katika katika ziara ya kikazi Wilayani humo.

Ndg. Hapi amewataka wanaccm na wananchi kwa ujumla kuchagua wagombea wenye sifa wanaokubalika kuchukua fomu za ugombea ikiwa ni pamoja na kuhakiki ama kujiandikisha kwenye daftari la wakazi litakalotoa sifa ya utambuzi wa kugombea na daftari la kudumu la kupiga litakalotoa sifa ya kupiga kura wakati wa zoezi hilo utakapofika. 

Hata hivyo Hapi amewataka Viongozi wa Chama hicho kujipanga vizuri na kuimarisha umoja na mshikamano ili kuhakikisha Kibiti inasonga mbele kimaendeleo na kupata ushindi wa kishindo katika chaguzi zote zijazo.

Aidha katika chaguzi hizo zijazo Hapi amesisitiza na kuwataka wanachama na wananchi pia kuwa makini kwa kuepukana na  tabia za ugombanishi, uchochezi na kufitinishwa na makundi ya watu wachache wasio waadilifu ambao kwa namna moja ama nyingine huweza kuwaharibia amani iliyopo.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.