• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

IDARA YA ELIMU SEKONDARI YAKAGUA SHULE KWA SHULE

Posted on: March 3rd, 2023

Idara ya elimu sekondari Wilaya ya Kibiti imeendelea na zoezi la ufuatiliaji juu ya ufundishaji wa walimu na ujifunzaji kwa wanafunzi katika shule za sekondari ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa moja ya mbinu zinazoaminika kuwa ni mwarobaini wa kuongeza ufaulu mashuleni ndani ya Wilaya.

Katika kupandisha ufaulu shuleni kaimu  Afisa Elimu sekondari mwl. Shaban Mangosongo aliye ambatana na wasaidizi wake, amewahimiza  waalimu kuhakikisha wanatumia muda wao kufundisha kwa moyo kuhakikisha  watoto wanaelewa na wanafanya vizuri katika masomo yao pindi wafanyapo mitihani lengo likiwa ni kuhakikisha kibiti inapandisha ufaulu na kutokomeza ziro kwani  ni jambo linalowezekana.

Hayo yamebainishwa katika ziara ya siku 2 iliyohusisha shule za Sekondari za Mjawa,Nyambili Nyambunda, Msafiri, Mtawanya, Ruaruke, Jaribu, Mchumkwi na Kikale ambapo Mwl Mangosongo amewahusia wanafunzi kusoma kwa bidii na kuwashirikisha Walimu wao pale wanapokwama, ili kuweza kufanya vizuri katika mitihani yao na kuweza kufikia malengo yao.

“Ili kufaulu lazima kila mwanamfunzi awe na bidii ya kusoma na kufurahia somo, wekeni ratiba, mjenge tabia ya kujisomea kila siku  baada ya masomo ya darasani. Alisema Mwl. Mangosongo.

Hata hivyo kaimu Afisa Elimu huyo, amewataka wanafunzi wote kuhakikisha wanafanya mazoezi ya kutosha ili kujiimarisha katika masomo mbalimbali Pamoja na kujibu maswali vizuri kipindi cha mitihni.

“Mnapofanya vibaya mitihani yenu na kushindwa kufanya vizuri, tunaumia sana, hebu mkasome kwa bidi ili pia kama Wilaya tuondokane na aibu ya kufeli na kushika nafasi za ovyo”. Alisema Mangosongo.

Aidha katika vikao hivyo ambavyo wazazi walishirikishwa pia, kwa pamoja wamekubaliana kuchangia pesa ya chakula cha mchana cha watoto shuleni ili kuimarisha afya za wanafunzi na kuwaepusha kusoma wakiwa na njaa.

Naye kaimu katibu msaidizi wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) Ally Habib Masoud aliwakumbusha Walimu kwa kutoa ufafanuzi wa nidhamu kwa Utumishi wa Umma huku akiwasihi kufanya kazi kwa kufuata sheria,miongozo, kanuni na taratibu zake. Pia aliwasisitiza Walimu kuhakikisha wanaujua na kuuelewa vizuri mfuko wa fidia za wafanyakazi kazini (WCF) ili kuweza kupata stahiki zao kupitia mfuko huo wapatapo majanga kazini.

Matangazo

  • KUANZA KWA MFUMO MPYA WA UKUSANYAJI MAPATO (TAUSI) March 01, 2023
  • KUANZA KWA MFUMO MPYA WA UKUSANYAJI MAPATO (TAUSI) March 01, 2023
  • TANGAZO KWA WAFUGAJI WOTE WILAYA YA KIBITI December 29, 2022
  • TANGAZO KWA WAKULIMA WOTE WILAYA YA KIBITI December 30, 2022
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • WILAYA YA KIBITI YASHEHEREKEA MIAKA 106 YA SKAUTI NCHINI

    March 11, 2023
  • UKAGUZI WA UJENZI WA VYUMBA VITANO VYA MADARASA PAMOJA NA OFISI SAMBAMBA NA UKAGUZI WA KPI (KEY PERFORMANCE INDICATORS) SHULE YA MSINGI KIASI.

    March 09, 2023
  • SIKU YA WANAWAKE DUNIANI YAFANA WILAYANI KIBITI.

    March 07, 2023
  • MAAFISA UGANI NA WATENDAJI WA KATA WAKABIDHIWA PIKIPIKI-WIAYANI KIBITI.

    March 06, 2023
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.