• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

KAMATI YA FEDHA YATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KIBITI

Posted on: November 16th, 2022

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti Mhe. Ramadhani Mpendu akiwa ameambatana na Mkurugenzi Mtendaji Ndg. Mohamed I. Mavura pamoja na wakuu wa Idara wa Wilaya ameongoza ziara ya kamati ya fedha mipango na uongozi kukagua miradi ya maendeleo inayoendelea katika Wilaya ya Kibiti kwa mwaka wa fedha 2022 -2023.

Katika ziara hiyo Mwenyekiti Mpendu amepongeza kasi nzuri ya ujenzi ilipofikia katika miradi yote na kuzitaka kamati zote za ujenzi kuhakikisha miradi inakamilika kwa wakati uliokusudiwa.

Kutokana na uhaba wa shule za sekondari za kidato cha 5 na 6 Wilayani hapa, Mkurugenzi Mtendaji Mohamed Mavura ametoa pendekezo shule ya sekondari Dimani kuandaliwa  kuwa na kidato cha tano na cha sita jambo ambalo litafanya watoto kuvutiwa na  kuendelea  kupata huduma hiyo ndani ya Wilaya na wanaofaulu kwa sasa wanalazimika Kwenda nje ya Wilaya yetu, Kwani Wilaya ya Kibiti Kuna sekondari ya wavulana Kibiti pekee ambayo bado haikidhi mahitaji hususani kwa watoto wa kike.

Wakiwa katika shule za sekondari zenye mradi wa 420,000,000 fedha za Serikali Kuu wenye jumla ya vyumba 21 vya madarasa,Kata ya Dimani hali ya ujenzi wa darasa moja lenye thamani ya sh .20,000,000. katika sekondari ya Dimani upo hatua ya upauzi,Kata ya mtawanya sekondari ya mtawanya ujenzi wa vyumba 9 vya madarasa vyenye thamani ya 180,000,000 upo hatua ya upauaji,Kata ya Bungu sekondari ya Nyambili Nyambunda vyumba 5 vya madarasa vyenye thamani ya sh 100,000,000 ujenzi upo hatua ya upauaji sambamba na ujenzi wa choo tundu 13 zenye thamani ya sh 20,000,000 kwa fedha za mapato ya ndani wakati ambao upo Hatua ya msingi na katika sekondari ya Mwambao ni vyumba 6 vya madarasa vyenye thamani 120,000,000 ambapo pia ujenzi upo hatua ya upauaji.

Vilevile kwa upande wa miradi ya shule za msingi, kamati imeitembelea shule ya msingi Roja katika Kata ya Mtawanya ambapo ujenzi wa darasa moja lenye thamani ya sh 20,000,000 umekamilika kwa fedha za mapato ya ndani, Kata ya Bungu shule ya msingi Songas vyumba 2 vya madarasa vyenye thamani ya 43,000,000 ujenzi upo hatua ya umaliziaji kwa ufadhili wa kampuni ya gesi ya Songas.Pia katika Kata ya Kibiti shule ya msingi  ujenzi wa vyumba 2 vya madarasa ya awali wenye thamani ya sh.55,824,000 kwa fedha za LANES upo katika hatua ya umaliziaji.

 Aidha kamati ulifanikiwa kufika katika hospitali ya Wilaya iliyopo Kata ya Mtawanya, na kujionea hali halisi ya ujenzi wa Jengo la wagonjwa wa dharula (EMD) lenye thamani ya sh 300,000,000 kwa fedha za uviko upo katika hatua za ukamilishaji, ujenzi wa majengo 4 yenye thamani ya sh 800,000,000 kwa fedha za Serikali Kuu, Jengo la kuhifadhia maiti (mortual) ujenzi upo hatua ya umaliziaji, Jengo la upasuaji (theatre) lipo hatua ya upauaji vilevile ujenzi wa wodi 2 za wagonjwa waliofanyiwa upasuaji (surgical ward ) kwa wanawake na wanaume ziko hatua ya upauaji.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.