• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

KANALI KOLOMBO AONGOZA MSAKO WA WAFUGAJI WAVAMIZI TWASALIE

Posted on: June 21st, 2023


WAWILI WAKAMATWA KATIKA MSAKO HUO

MKUU wa Wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo ameongoza msako wa kuwakamata wafugaji wavamizi katika Kitongoji cha Tarachu Kijiji cha Twasalie Kata ya Msala ambao huvamia na kulisha mifugo yao katika mashamba ya watu.

Kanali Kolombo akiwa amembatana na Uongozi wa Kata na Kijiji na Kamati ya Ulinzi na usalama katika msako huo, wamefanikiwa kuwakamata vijana wawili ambao ni vibarua wa wafugaji na kuwafikisha katika vyombo vya Dola .

Mara baada ya jopo lililofanya  msako  kutembea umbali wa takribani km 10 kuelekea katika kambi za wafugaji hao, walirejea kijijini na kukutana na wananchi ambapo aliwataka wananchi hao kuwa wavumilivu na kutoa ushirikiano wa kutosha kwa vyombo vya Dola Ili kufanikisha zoezi hilo kwani kilimo chao amekisikia.

"Niko hapa Leo kwa ajili ya kutafuta ufumbuzi wa kero zenu hususani wafugaji ambao huvamia mashamba yenu na kulisha mifugo yao, kilio chenu nimekisikia" Alisema Kolombo.

Vilevile kutokana na jiografia ya kisiwa hicho kuzungukwa na maji, Mkuu wa Wilaya Kolombo amewataka wananchi kuwa makini na kuchukua tahadhali ya wanyama wakali na waharibifu, wanapofanya shughuli zao za kibinadamu kandokando na ndani mto kwani changamoto ya mamba bado ipo.

Akitoa shukrani Kwa niaba ya wananchi wenzake ndg, Amiri Iddi Lyendeki amesema kupatikana Kwa mfugaji arimaarufu kwa jina la sura mbaya, kutasaidia kumalizika kwa kero hiyo Kwa haraka, kwani amefikia hatua ya kutishia watu maisha na kuhoji wakulima kwa Nini wamepanda mazao bila woga

Aidha Mwenyekiti wa Kijiji cha Twasalie ndg, Miraji Juma Mwingo amemshukuru Mkuu wa Wilaya kwa kufika jijijini kujionea hali halisi na kusema kwamba wananchi wamefarijika sana wamepata matumaini ya kudhibiti kero ya wafugaji kijijini hapo .

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.