• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

KANALI KOLOMBO AZINDUA UJENZI WA SHULE SHIKIZI YA SEKONDARI KATA YA BUNGU WENYE THAMANI YA SH. 528,998,424.

Posted on: September 14th, 2024

12.09.2024.

Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo amemuagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Ndg. Hanan Bafagih na Wataalam wake  kuangalia namna ya kuhakikisha mifumo inafanya kazi kwa wakati ili kuepuka kuchelewa kuanza kwa miradi mara tu baada ya fedha kuingia kwenye akaunti.

"Hii Mimi sipendi, fedha za Ujenzi huu zimeingia tangu tarehe 23.06.2024 mpaka sasa zimekaa tu kwenye akaunti Ujenzi haujaanza haipendezi hata kidogo" Alisema Kolombo.

Kanali Kolombo amesema hayo alipokuwa akizindua Ujenzi wa shule Shikizi  mpya ya Sekondari katika Kata ya Bungu wenye thamani ya sh 528,998,424 ambazo ni fedha za SEQUIP. Mradi huo unatarajiwa kuanza kutelelezwa wakati wowote kuanzia sasa. 

Mkutano huo ulifanyika Bungu katika soko la TASAF ambapo Mkuu huyo wa Wilaya ameagiza viongozi hao kuhakikisha maeneo yote yenye miradi yanapimwa na kupewa hati hii ni pamoja na miradi ya BOOST , VETA, SEQUIP n.k.

Kwa nyakati tofauti akifungua na kufunga mkutano huo Diwani wa Kata ya Bungu na Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Mhe. Ramadhan Mpendu amemshukuru Mhe. Rais Dkt. SSH na wasaidizi wake kwa miradi inayoendelea kuletwa Kibiti.

Awali akisoma taarifa fupi ya utekelezaji wa Ujenzi wa shule hiyo mpya Mkuu wa shule ya Sekondari Msafiri Mwl. Estomic Kimwemwe amesema Ujenzi utahusisha vyumba vya madarasa, Ofisi moja ya walimu, jengo la Utawala, Maabara za kemia, baolojia ,fizikia , maktaba, jengo la tehama,  vyoo matundu 4 ya Wavulana na 4 ya Wasichana, kichomea taka na tanki la maji la ardhini.

Hata hivyo Mwl. Kimwemwe alifafanua kuwa Ujenzi utahusisha wazabuni tofauti tofauti kwa idadi ya majengo na mgawanyo wa matumizi kama ambavyo mchanganuo unavyoonekana katika chati.

Aidha Wananchi wa Bungu kipekee nao wamemshuru Mhe. Rais kwa kuendelea kutoa fedha za miradi katika Wilaya ya Kibiti huku wakikiri kuwa mradi wameupokea na wako tayari kutoa ushirikiano kuhakikisha Ujenzi unakamilika na kwa kuanza tu wamekwishaanza kusafisha eneo ambalo Ujenzi utatekelezwa.


Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.