• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

KIBITI MALARIA SASA BASI

Posted on: February 2nd, 2023

Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti imepokea ugeni wa shirika lisilo la kiserikali (NGO’S) kutoka  nchini Marekani kupitia shirika la USAID ambalo hufadhili mapambano dhidi ya malaria  THIBITI MALARIA kupitia Presidecial malaria initiative program chini ya Ofisi ya Rais Tanzania.

Akikaribisha ugeni huo Mganga Mkuu wa Mkoa wa Pwani na  msimamizi mkuu wa mradi huo ambao utadumu kwa muda wa miaka mitano Daktari Gunini Kamba amesema kutokana na ukubwa wa tatizo la ugonjwa wa malaria anatamani na wilaya zilizosalia  kufikiwa na Mradi huo.

Taasisi hiyo imewasili katika ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Kibiti kwa lengo la kujitambulisha  na kuona eneo ambalo mradi utatekelezwa kwani ni mradi mpya kwa Tanzania ambapo kwa mkoa wa Pwani upo katika Wilaya ya Kibiti na Mafia.

Vile vile wamesema kazi kubwa ya shirika hilo ni kuisaidia shughuli zote zinazohusiana na kudhibiti ugonjwa wa malaria na kwa Wilaya ya kibiti tayari wameshaanza kwa kutoa mafunzo ya usimamizi shirikishi wa malaria(MSDQI) kwa wataalamu wa afya watakaofanya nao kazi.

Mara baada ya kupokea ugeni huo Mkurugenzi Mtendaji Mohamed Mavura amesema amefurahia program hiyo kwa upekee wa kuchagua kibiti na mafia kwani mazingira yake yanafana na asilimia kubwa ya Wilaya hizo zimezungukwa na maji ukizingatia na mbu hujificha katika maeneo yenye maji maji na kuzaliana huku akiahidi kuwa tayari kutoa ushirikiano wa kutosha kuhakikisha mradi  unatimiza malengo yaliyokusudiwa katika zoezi la kudhibiti na kukomesha ugonjwa wa malaria Kibiti.

Hata hivyo Mavura amesema  tafiti nyingi za malaria zimefanyika bila ya mafanikio ni tumaini lake mradi huu wa THIBITI MALARIA utakuwa suluhisho katika ukanda wa Pwani kusini ambako malaria ni tatizo hususani kibiti kwa kawaida mvua hunyesha kuanzia mwezi 9-4 mfululizo jambo ambalo halikwepeki katika kutengeneza mazalia ya mbu.

Aidha Mganga Mkuu wa Wilaya Daktari Elizabeth Oming’o amesema amefurahishwa na ujio wa mradi huo kwani utakuwa mkombozi kwa Wilaya ya Kibiti ambapo katika magonjwa kumi ambayo  wagonjwa hufika kutibiwa malaria inaongoza kwa kuwa na wagonjwa wengi zaidi mfano katika Kata ya Mtawanya Nyamisati n.k .Na kampeni hiyo itasaidia kutoa huduma sahihi katika Wilaya ya Kibiti na Mafia ambako mradi utatekelezwa.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.