• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

KIBITI SASA NISALAMA ARDHI IPIMWE KUVUTIA WAWEKEZAJI-MHE. CHAUREMBO MWENYEKITI WA HALMASHAURI

Posted on: April 12th, 2018

"Ndugu zangu wanakibiti, wanasiasa wenzangu na watendaji, tusaidiane kuhimiza na kutekeleza majukumu yetu, hasa kupima ardhi ili kuvutia wawekezaji katika Halmashauri yetu" Alisema Mhe. Chaurembo, Mwenyekiti wa Halmashauri, Katika kikao cha baraza la kawaida ya robo ya pili ya mwaka. Katika swala la uwekezaji na utayarishaji wa mazingira yake, yatupasa kushikamana sote, wanasiasa na watendaji aliongeza. 

Sisi wana Pwani Rais wetu Mhe. John Pombe Magufuli ametupa heshima kubwa, kuwa Mkoa wa viwanda hivyo niwajibu wetu kulipokea hilo kwa vitendo. Niombe Wananchi na Diwani wa Dimani nasisi sote kumaliza mapema swala la Kijani Kibichi katika kijiji cha Penda, ili waanze kufanya shughuli zao na kuleta tija kwa Halmashuri yetu.

Aidha, katika Baraza hili Mhe. Mkuu wa Wilaya akitoa taarifa za serikali alisema "Hakuna mahala popote palipo zuiliwa wananchi kuchangia elimu" Niwaombe kulipokea jambo hili kwa uzuri wake na kulitendea sawia na makusudio ya viongozi wetu. Kilicho zuiliwa nikuwaingiza waalimu katika kupokea na kuhamisisha michango hiyo, aliongeza Mhe. Kiffu.

Mhe. Mwenyekiti kupitia Baraza lako hili tukufu niombe tuu waheshimiwa Madiwanai wetu kuhamasisha wananchi katika maeneo yao katika kuchangia huduma za elimu na kusimamia wenyewe uratibu wake, na kwa kufanya hivyo tutakuwa tumeshiriki kikamilifu katika utekelezaji wa dhana hii.

Napia kabla sijamaliza tarifa yangu niombe kusema kuwa "swala la usimamiaji na uhamasishaji wa mapato ya Halmashauri hili si la mtu mmoja, bali sisi sote kwa nafasi zetu" 

Hivyo basi niombe kuongezeka kwa weledi na ufatiliaji ilikufikia malengo yetu kwa wakati na kujiepusha na hatari za kufutwa kwa Halmashauri yetu. Kwani nikiwa kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama nasema sasa tuko salama na hakuna kizingizio, hivyo niseme tuu hatuna kisingizio bali tufanye kazi. Asanteni.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.