• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

KIBITI YAADHIMISHA SIKU YA MASHUJAA WA TANZANIA KWA KUFANYA USAFI KITUO CHA AFYA KIBITI

Posted on: July 25th, 2023

USINGIZI WA AMANI UNAOLALA WEWE NI MATUNDA YA JUHUDI ZA MASHUJAA WETU


Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti imeungana na Wilaya nyingine nchini  katika Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa Leo  tarehe 25 Julai ambayo hufanyika Kila mwaka Kama ilivyo desturi ya nchi yetu ambapo hutoa fursa ya kuwakumbuka mashujaa wa Tanzania waliojitolea maisha yao kwa ajili kupigania nchi yetu.

MKUU wa Wilaya ya Kibiti, watumishi wa Halmashauri, Taasisi mbalimbali, vyama vya siasa na dini wameadhimisha siku hii adhimu Kwa kufanya usafi wa Mazingira kituo cha afya kibiti.

Vilevile katika maadhimisho hayo Kanali Kolombo amesema sherehe hizi hufanyika ikiwa ni kumbukizi ya waasisi wetu Ili kuweza kuwakumbuka Mashujaa waluojitoa mhanga Kwa ajili ya kuitetea nchi yetu na kuiletea Amani.

" Tuko hapa kuwakumbuka Mashujaa waluojitoa mhanga Kwa ajili ya kuitetea nchi yetu, Daima tukumbuke kwamba Usingizi wa Amani tunaolala leo ni matokeo ya jitihada za mashujaa wetu, waliopoteza uhai wao katika kupigania Amani ya nchi yetu" Alisema Kolombo.

Hata hivyo Kanali Kolombo amewasisitiza wananchi kuona umuhimu wa kulinda na kuitunza amani tuliyonayo iliyopiganiwa na Mashujaa Hawa.

Aidha Mwakilishi wa mashujaa Wilaya ya Kibiti Joseph Milanzi ambaye alipigana vita ya Uganda mwaka 1978 - 1979 amefarijika kwa ngazi ya Wilaya kuadhimisha kumbukizi hiyo huku akiwapongeza washiriki wote kushiriki kumbukizi hiyo muhimu.

" Nimefurahi, nimefarijika Sana kwa kutujali na kuona thamani yetu Mashujaa wa Tanzania" Alisema Mstaafu huyo wa Jeshi Shujaa Joseph Milanzi.

Maadhimisho haya maalum hufanyika kitaifa katika Jiji la Dodoma, ambapo katika Mkoa wa Pwani yameadhimishwa katika viunga vya ofisi ya mkoa wa Pwani.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.