• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

MAADHIMISHO YA MIAKA 62 YA UHURU - USAFI ENEO LA KIBITI SOKONI.

Posted on: December 11th, 2023

8.12.2023.

Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo ameongoza watumishi kushiriki kufanya shughuli za kijamii katika soko la Kibiti ikiwa ni siku moja kabla ya kuadhimisha sikukuu ya Uhuru wa Tanzania Bara.

Kanali Kolombo amewashukuru watumishi na wananchi wote waliojitokeza kufanya usafi wa mazingira katika eneo la soko hilo ambapo shughuli zilizofanyika ni kufyeka nyasi, kufagia na kukusanya takataka.

"Suala la usafi lilianza siku nyingi, wakati Taifa likiwa na miaka 12, ilipishwa kampeni ya usafi ( Mtu ni Afya) ambayo  iliasisiwa na Baba wa Taifa Mwl J.K . Nyerere." Alisema Kolombo.


Vilevile Kanali Kolombo aliwaalika watu wote kujitokeza kushiriki mdahalo ambao ulijadili mafanikio mbalimbali kabla na baada ya uhuru, huku akialika wazee wa  zamani waliopo Kibiti ambao waliweza kutupatia shuhuda namna mambo yalivyokuwa kabla ya uhuru na muelekeo wa wilaya yetu baada ya uhuru.

"Siku ya kesho ni kilele cha maadhimisho ya miaka 62 ya uhuru Tanzania, tumealika wazee wetu na hivyo mjitokeze kwa wingi kusikiliza mdahalo huo" Alisema Kolombo.


Awali akimkaribisha Mkuu wa Wilaya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti Bw. Hemed Magaro alisema zoezi hilo la usafi ni maagizo maalumu kutoka Mkoani kama ilivyoelekezwa na Mhe. Rais

"Tulipofika hapa eneo hili lilikuwa pori lenye nyasi ndefu, lakini baada ya kujitoa kwetu tumeweka mazingira haya kuwa safi, hongereni sana" Alisema Bw. Magaro.

Agizo hilo lilitolewa na Waziri Mkuu Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa Disemba 3 katika kilele cha Tamasha la Bibititi Mohammed wilayani Rufiji ikiwa ni maelekezo ya Mhe. Rais.


"Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. SSH ameagiza maadhimisho yafanyike kimkoa na kiwilaya kwa kufanya shughuli mbalimbali za kijamii, mijadala sambamba na kuzindua mchakato wa dira ya maendeleo ya Taifa 2025-2050" Alisema Waziri Mkuu Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa.


Tukio hilo la usafi wilayani Kibiti limehusisha watumishi wote wa Halmashauri ya Kibiti, Taasisi mbalimbali likiwemo jeshi la Polisi, jeshi la Magereza, TAKUKURU, Benki ya NMB, TANESCO, TARURA pamoja na Wananchi wa Kibiti.

Pichan ni matukio mbalimbali ya zoezi hilo la usafi katika soko la Kibiti.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.