• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

MAGARO AFUNGUA KIKAO KAZI CHA WAKUU WA SHULE NA MAAFISA ELIMU IDARA YA SEKONDARI.

Posted on: July 20th, 2023


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti Bw. Hemed Magaro amefungua kikao kazi cha Walimu Wakuu wa shule za sekondari Wilaya ya Kibiti katika ukumbi wa Halmashauri Leo tarehe 20.7.2023 chenye lengo la kujitathmini na kuweka mikakati ya kuinua taaluma pamoja na utekelezaji wa KPI.

Bw. Magaro amewataka Wakuu wa shule kufanya kazi kwa kushirikiana, nidhamu na usimamizi mzuri ili kuweza kupata matokeo chanya kitaaluma.

Hata hivyo amezipongeza shule ya Wama na kayama na shule ya wavulana Kibiti Kwa kufanya vizuri katika mitihani ya kidato Cha 6 huku aliwasisitiza kuongeza bidii kwani upatikanaji wa daraja la l unawezekena.

Vilevile Mkurugenzi Magaro amesisitiza umuhimu wa uwepo wa motisha kwa Walimu hususani wanapofanya vizuri, uwazi wa mapato na matumizi ya fedha kwa kuwashirikisha wazazi na Serikali kupitia ngazi ya Kijiji na Kata jambo linaloleta ufanisi wa kazi kwa uwazi na ari zaidi.

Katika kikao hicho, Afisa Elimu Sekondari Mwl. Anna Shitindi amewataka Wakuu wa shule kuhakikisha wanawasimamia Walimu kikamilifu kuhakikisha  wanapata ufaulu wa daraja la l - lll  kwa 70% na kuondoa daraja 0 katika shule zote za sekondari Wilayani Kibiti.

"Walimu Wakuu hii ikawe ni agenda  ya kudumu katika vikao vyenu kuhakikisha mnatokomeza 0  kwa kidato cha 2 ,4 na 6.

Hata hivyo Shitindi amewaelekeza Wakuu hao wa shule kupitia mikakati waliyojiwekea kuhakikisha wanawatambua na kuwafuatilia  wanafunzi wenye uwezo mkubwa na mdogo madarasani kwa kuwasaidia kulingana na uwezo wao ili waweze kufanya vizuri zaidi kupitia masomo mkakati katika michepuo mbalimbali.

" Kuanzia sasa naomba muwatambue wanafunzi kulingana na uwezo wao kwa kuwafuatilia na kuwasaidia ili waweze kufanya vizuri katika mitihani yao na kuepuka daraja 0" Alisema Shitindi.

Pia Shitindi amewaagiza Wakuu shule wa Wilaya ya Kibiti kuongeza kasi ya usimamizi na ufuatiliaji ili kuweza kufikia malengo ambayo Wilaya imejiwekea.

Ili kufikia malengo hayo, Shitindi amewaagiza Wakuu wa shule wote kuhakikisha kwa namna yeyote ile wanadhibiti utoro ambao ni chanzo kikuu cha wanafunzi kupata daraja 0 mashuleni.

Mbali na maelekezo hayo Shitindi ameleekeza kila shule  kuhakikisha wanafunzi wa vidato vya mitihani y mwaka huu wanapata chakula cha mchana shuleni ili kuboresha mahudhurio ya wanafunzi shuleni katika kushiriki ujifunzaji.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.