• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

MAMLAKA YA DAWA NA VIFAA TIBA TANZANIA YAENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA KIBITI MKOA WA PWANI.

Posted on: August 30th, 2023


Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba Tanzania (TMDA), imeendelea kutoa  elimu kwa Umma katika shule za Sekondari zilizopo katika Halmashauri ya wilaya ya Kibiti katika mkoa wa Pwani.  Lengo likiwa ni kuongeza uelewa kwa jamii hususani kwa wanafunzi ili wawe mabalozi wazuri kwa jamii inayowazunguka.

Mkaguzi wa Dawa kutoka TMDA Kanda ya Mashariki Bi. Joy Hezekieh amesema, elimu hiyo kwa wanafunzi ni pamoja matumizi sahihi ya dawa pamoja na madhara yatokanayo na matumizi yasiyo sahihi ya dawa, mfano cheti cha dawa kimeandikwa 2x3(2 inawakilisha idadi ya vidonge ambavyo mgonjwa anatakiwa kutumia kwa wakati huo na 3 inawakilisha masaa, siku 1 ina masaa 24 ukigawanya kwa 3 unapata masaa 8, hivyo mgonjwa atatakiwa kutumia vidonge vyake kila baada ya saa 8). Neno kutwa huleta maana isiyo sahihi kimantiki, huwafanya wagonjwa wameze dozi nzima ya dawa kwa mgawanyiko wa saa 12 pekee.

Akizungumzia njia sahihi ya uteketezaji wa dawa zilizokwisha muda wa matumizi, Bi Joy awamewataka kutokutupa hovyo dawa zilizokwisha muda wa matumizi majumbani badala yake wapeleke kwenye vituo vya kutolea huduma za afya vilivyo karibu.

Pia wamewaelekeza jinsi ya kuripoti madhara ya dawa(adverse drug reaction) kwa kupiga namba ya bure 0800110084 pamoja na *152*00# kisha unachagua afya baadaye TMDA na kufuata maelekezo,

Aidha TMDA imewataka wanafunzi hao kuacha tabia za kutumia dawa pasipo kupima, wametakiwa kwenda kwenye vituo vya kutolea huduma za afya pindi wanapohisi dalili za ugonjwa ili waweze kupata matibabu sahihi na  kwa ugonjwa sahihi. Mbali na hayo TMDA imeitaka jamii kuacha mtindo wa kutumia maduka ya dawa muhimu kama sehemu yakupata huduma za maabala na kitabibu.

Mamlaka ya dawa na vifaa tiba (TMDA) ni Taasisi ya Serikali iliyo chini ya Wizara ya Afya yenye jukumu la kulinda afya ya jamii kwa kudhibiti ubora, Usalama na Ufanisi wa dawa, vifaa tiba na vitendanishi.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.