• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

MARAFIKI WAENDELEA KUMSHIKA MKONO MHE. MPEMBENWE. BAKHRESA ATOA MIFUKO 122 YA NGANO.

Posted on: April 21st, 2024

20 . 4. 2024

Kampuni ya Said Salim Bakhresa  ya jijini Dar es Salaam (SSB) imeungana na Mbunge wa Jimbo la Kibiti kuwashika mkono waathirika  wa Mafuriko yaliyotokea katika Wilaya ya kibiti baada ya mto Rufiji kufurika maji yanayotokana na mvua zinazoendelea kunyesha.

Msaada uliotolewa ni wa mifuko 122  ya unga wa ngano ambapo kila mfuko una vifuko 5 Vyenye ujazo wa kg kumi kumi yenye jumla ya thamani ya fedha  za Kitanzania shilingi 9, 930, 800.

Akikabidhi msaada huo Mwakilishi ( dereva)  wa Bakhresa ndg.Twaha Mkumba amesema Mkurugenzi ameguswa akaona ni vema kuungana na Mbunge kusaidia waliokumbwa na Mafuriko Wilaya hii ya Kibiti. 

Akizungza kwa niaba ya Mbunge Diwani wa Viti Maalum Mhe.Zainab Chitanda ameishukuru Kampuni ya Azam Bakhresa kwa kuwashika mkono wanakibiti waliofikwa na madhira ya Mafuriko sambamba na kumpongeza Mh.Rais kwa juhudi kubwa anazofanya  kuwasaidia waathirika wa mafuriko Wilayani Kibiti.

Akipokea msaada huo Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo ameishukuru kampuni hiyo kwa msaada huo na ameahidi kwamba msaada utaenda kuwafikia walengwa kama ulivyopokelewa.

Aidha Katibu wa chama cha Mapinduzi Wilaya ya Kibiti Ndg Zacharia Muhidini akitoa shukrani kwa Kampuni ya Azam Bakhresa baada ya kupokea msaada ameishukuru Serikali ya Dkt. SSH kwa namna inayoendelea kuwashika mkono waathirika hao, uongozi wa Mkoa na Wilaya kwa namna walivyoratibu bila kumsahau Mhe.Twaha Mpembenwe Mbunge wa Jimbo la Kibiti kwa namna anavyokuwa mstari wa mbele kuhakikisha misaada inapatikana.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.