• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

MKURUGENZI MTENDAJI BW. MOHAMED I. MAVURA ASHIRIKI KIKAO CHA KAMATI YA MAENDELEO KATA YA KIBITI

Posted on: September 28th, 2022

Halmashauri ya wilaya ya kibiti imetenga takribani sh Milion 420 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa mapya ya shule za Sekondari ,

Hayo yamesemwa leo na Mohamed I. Mavura (Mwalikwa wa kikao) ambaye ni mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo katika kikao cha Kamati ya maendeleo ya kata ambacho kilifanyika katika ukumbi wa halmashauri huku akiwataka wakandarasi na waratibu elimu kata kufanya uhakiki kabla ya ujenzi kuanza.

Akizungumzia ukuaji wa mji wa kibiti halmashauri imejipanga kufanya uboreshaji wa stendi hiyo ikiwa ni sambamba na kuweka taa kwa ajili ya mwanga wakati wa usiku na kuweka mpangilio mzuri wa wafanyabiashara. Pia amempongeza Diwani wa Kata Hiyo kwa kuwa kaa yake inafanya vizuri katika usimamizi wa miradi ya maendeleo.

Kutokana na kero ya kukatika kwa umeme kwa muda mrefu bila taarifa Ndg. Mavura amesema kunachangia kupunguza mapato ya wananchi ambao biashara zao zinategemea umeme na kuwarudisha nyuma kiuchumi.

Naye Diwani wa kata ya kibiti  Ndg. Hamidu Ungando akaomba ufafanuzi kwa Tanesco juu ya gharama za kuunganisha  umeme.

Naye Meneja wa TANESCO alisema kuwa kwa maeneo ambayo ni ya vijijini wataendelea kuunganishiwa umeme kwa bei ileile ya awali ya shilingi 27,000/= lakini kwa maeneo yaliyochini ya mamlaka ya mji mdogo wataunganishiwa umeme kwa gharama ya shilingi 321000.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.