• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

MKUTANO WA MKUU WA MKOA WA PWANI, WAKURUGENZI WATENDAJI WA HALMASHAURI NA VYOMBO VYA HABARI

Posted on: November 3rd, 2023

Leo 03 Nov, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mh. Abubakar Kunenge amefanya mkutano na Wakurugenzi watendaji wa Halmashauri 9 za mkoa wa Pwani ( Chalinze, Bagamoyo, Kibaha mji, Kibaha vijijini, Mkuranga, Kisarawe, Mafia, Rufiji na Kibiti), waandishi pamoja na maafisa wa habari wa taasisi na vyombo mbalimbali katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani.

Mkutano huo ulihudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Mkurugenzi wa Idara ya Habari – Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Bw. Mobhare Matinyi, Wakuu wa wilaya wa Halmashauri za mkoa wa Pwani na wakurugenzi wa taasisi mbalimbali kama TARURA na TANROAD.

Lengo la Mkutano huu likiwa ni kuwapatia wananchi taarifa juu ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo iliyotekelezwa na Serikali ya awamu ya sita katika mkoa wa Pwani chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Katika Mkutano huo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti Bw. Hemed S. Magaro alieleza, Halmashauri  ya Wilaya ya Kibiti ilipokea takribani Sh. Bil. 17.1 kutoka Serikali kuu kwaajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo ambapo fedha hizo zilitekeleza yafuatayo : Sh. Mil. 95 kujenga banda la abiria, kizimba cha taka na soko la samaki, Sh. Mil. 471.3 zilitolewa kama mikopo kwa vikundi 132 vya wanawake, vijana na walemavu, Sh. Bil. 6.14 kwenye ujenzi wa Ofisi na nyumba za watumishi, Sh. Bil. 4.46 kutekeleza miradi katika Sekta ya Elimu ya Awali na Msingi na Sh. Bil. 5.93 zilienda katika miradi katika sekta ya Afya.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.