• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

MKUU WA WILAYA YA KIBITI AZINDUA ZOEZI LA UANDIKISHAJI WA ORODHA YA WAPIGA KURA KWA AJILI YA UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA NGAZI YA VIJIJI VITONGOJI NA MITAAA MWAKA 2024.

Posted on: October 13th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo amezindua zoezi la uandikishaji wa Orodha ya Wapiga kura kwa ajili ya Uchaguzi wa Viongozi wa Serikali za Mitaa ngazi ya Vijiji,Vitongoji na Mitaa mwaka 2024 , zoezi ambalo limefanyika leo tarehe 11/10/2024 katika Kitongoji cha Lumiyozi kata ya Kibiti.


Akizungumza wakati wa Uzinduzi wa Zoezi hilo Kanali Kolombo amewataka wakazi wa Wilaya ya Kibiti kwa ujumla kujitokeza kwa wingi katika kujiandikisha hali itakayowapa fursa ya kushiriki zoezi la kupiga kura katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mwezi Novemba mwaka huu.

‘’Nendeni mkajiandikishe ili muweze kutimiza haki yenu ya kikatiba na ya kisheria ili muweze kuchagua viongozi mnaowataka,kutokufanya hivyo kutawanyima fursa ya kushiriki zoezi la kupiga kura hiyo siku ikifika’’

Aidha Kanali Kolombo amesema zoezi hilo kufanyika katika kata ya Lumiyozi ni bahati kwani swala hilo lilikuwa likiombwa na Vituo mbalimbali huku akiwasisitiza wakazi wa Kitongoji hicho kujitokeza kwa wingi hata baada ya siku hii ya leo.


Katika hatua nyingine msimamizi Mkuu wa Uchaguzi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti Hanan Bafagih amesisitiza swala la wanachi kushiriki zoezi hili na amebainisha mikakati mbalimbali ambayo imefanywa na Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti kuwaeleimisha wananchi ili kushiriki zoezi hilo ambalo limeanza rasmi mapema hii leo.

Zoezi la Uandikishaji wa Orodha ya wapiga kura limeanza leo tarehe 11 mwezi Oktoba na linatarajiwa kufikia tamati tarehe 20 mwezi Oktoba 2024.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.