• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

MKUU WA WILAYA YA KIBITI AZINDUA ZOEZI LA UGAWAJI NA UPANDAJI MITI KIWILAYA.

Posted on: January 27th, 2024

Mkuu wa wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo amezindua zoezi la Ugawaji na Upandaji miti wilayani Kibiti, kwa kupanda miti 516 katika shule mpya ya Sekondari ya Chief Hangaya iliyopo katika kitongoji cha Lumiozi kwa kushirikiana na wananchi leo tarehe 27.01.2024.


Akisoma ripoti iliyoandaliwa kwaajili ya shughuli hiyo, Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira Bw. Hamadi Mgaluli amesema, Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti imeotesha jumla ya miche 152,326 kwa mwaka 2023/2024 ambayo wanatarajia kuigawa kwa Wananchi na Taasisi mbalimbali za kiserikali na zisizo za kiserikali.

“Moja ya sababu ya kufanya shughuli hii hapa ni ukosekanaji wa miti ya kutosha kwaajili ya kivuli na kutengeneza mazingira rafiki na wezeshi ya wanafunzi kusoma, lakini pia kuwafanya wananchi waweze kutambua umuhimu wa usafi na uhifadhi wa Mazingira wakiwa shuleni na hata majumbani mwao.” Alisema Bw. Mgaluli

Aidha, Kanali Kolombo ameshiriki zoezi la usafi wa mazingira unaofanyika kila jumamosi ya mwisho wa mwezi maeneo mbalimbali nchini, ambapo wilayani Kibiti usafi umefanyika katika shule mpya ya Sekondari ya Chief Hangaya.

Kanali kolombo ametumia nafasi hiyo pia kuwakumbusha Wazazi na Walezi wote ambao bado hawajawapeleka watoto kuripoti shuleni kufanya hivyo kwani kuanzia Jumatatu tarehe 29.01.2024 hatua kali zitaanza kuchukuliwa dhidi yao kwakuwa wiki 2 alizotoa zimekwisha.

Pichani ni matukio mbalimbali ya zoezi hilo.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.