• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

MPEMBENWE AWAFARIJI WAHANGA WA MAFURIKO KIBITI.

Posted on: April 8th, 2024

6. 4. 2024.

Mbunge wa Jimbo la kibiti Mhe. Twaha Mpembenwe amewatembelea na kutoa pole kwa wakazi wa Kibiti ambao wameathiriwa na Mafuriko yaliyosababishwa na maji yanayotiririka kutoka vyanzo mbalimbali vya mto Rufiji kutokana na mvua nyingi zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini.

Mpembenwe ametoa pole hizo  kwa nyakati tofauti alipokuwa akizungumza na Wakazi wa Mtanga-delta, Kipoka na Usimbe ikiwa ni ziara yake maalum kuweza kujionea hali halisi ya Mafuriko na uharibifu uliotokea.

“poleni sana kwa changamoto ya Mafuriko iliyosababisha uharibifu wa mali zenu ikiwa ni pamoja na mazao" Alisema Mpembenwe.


"Niwaombe tu, kwa kipindi hiki mkahamie maeneo yaliyoinuka, Hali ninayoiona hapa siyo salama kwa uhai wa binadamu, lolote linaweza tokea ikiwa ni pamoja na kupoteza maisha" Alisema Mpembenwe.

Mbali na hayo, Mhe. Mpembenwe aliwataka wananchi hao  kuwa na uvumilivu kwani tayari Serikali imekwishaweka utaratibu mzuri wa kuwashika mkono wahanga wote wa maafa hayo kupitia kitengo cha maafa Ofisi ya Waziri Mkuu.

"Kuna watu watapita na huenda wameshapita kuchukua taarifa zenu ikiwa ni pamoja na kuwaandika majina, msiwapuuze, hizo ni takwimu zinazoandaliwa na misaada itaanza kuingia wakati wowote kuanzia sasa" Alisema Mpembenwe.

Kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti Afisa Mazingira Zakayo Gideon amesema kwa tathmini iliyofanyika mpaka sasa Kata Tano zimeathirika ambazo ni Kata ya Mtunda, Msala, Maparoni, Kiongoroni na Mbuchi. Pia amesema kamati ya maafa ngazi ya Wilaya inaendelea kufanya tathmini kila siku kuweza kujua ni namna gani wananchi wameathiriwa na Mafuriko hayo ili kuwa na takwimu sahihi.


Aidha wakazi wa maeneo hayo kwa nyakati tofauti pia wamemshuru Mhe. Mbunge kwa kuwatembelea na kuwapa pole. Kupitia Mafuriko hayo wamesema mbali na kuharibiwa mali zao lakini wanahofu ya kukumbwa na baa la njaa kutokana na mazao mengi kuharibiwa kabisa na maji.

Pia walimshukuru Mbunge kwa jitihada zake za kuwajali wananchi wake, kwani ujumbe aliofika nao umewafariji sana hivyo, wanatarajia kupata ahuheni kupitia misaada itakayoletwa kama alivyowapatia salam za Serikali kupitia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. SSH.

Katika ziara hiyo Mhe. Mpembenwe aliambatana na Mwenyekiti wa UWT, Mjumbe wa Halmashauri Kuu UWT, Mwenyekiti wa Umoja wa Wazazi, Mjumbe wa Kamati ya Siasa, pamoja na Madiwani wa Kata ya Kiongoroni na Mbuchi.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.