• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

mradi wa ujenzi wa vyumba vitano vya madarasa katika kata ya Msala

Posted on: November 8th, 2022

Afisa Elimu Msingi Zakayo Mlenduka kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti Mohamed Mavura akiwa ameambatana na Wataalam mbalimbali wa Wilaya, wamefanya ziara ya ukaguzi wa mradi wa ujenzi wa vyumba 5 vya madarasa katika shule ya msingi Kiasi kata ya Msala, vyenye thamani ya sh. 110,000,000.

Katika fedha hizo 100,000,000 ni kutoka Serikali Kuu na 10,000,000 ni fedha za mapato ya ndani ambapo mpaka sasa ujenzi wa vyumba 2 vya madarasa upo katika hatua ya kupandisha Kuta na vyumba vitatu vipo katika hatua za awali za uchimbaji msingi.

Katika ziara hiyo Mlenduka amewaomba wananchi kuupokea mradi kwa  kushiriki na kujitolea ili kuongeza nguvu kazi katika mradi huo Ili kuhakikisha vyumba 5 vya madarasa vinakamilika kwa wakati.

Pia Afisa Elimu amewaomba umoja wa vijana CCM (UVCCM) Wilaya kuweka Kambi Ili kusaidia ujenzi huo  na kwa kuunga mkono hilo akaahidi kuchangia Michele kg 50, unga kg 25 na Sukari kg 10 kwa ajili ya chakula Cha wanaojitolea wakati huo huo diwani nae akachangia sh. 20000 kwa ajili ya maharage ili kuhakikisha kazi inafanyika na kukamilika kwa wakati kwani madarasa hayo yanatarajiwa kuanza kutumika mwakani (2023).

Kwa upande wa manunuzi ya vifaa Afisa Manunuzi Rose Kahembe akatoa maelekezo ya namna ya kununua vifaa kama fedha ilivyoainishwa kulingana na bei wakati huohuo Afisa Mapato ya ndani Richard Mwalonde akasisitiza kutunza kumbukumbu ya mapato na matumizi  kwa maandishi ili kuepuka mikanganyiko pindi kaguzi za tathmini ya miradi zinapofanyika Ili kuwa na uwiano sahihi wa vifaa vilivyo nunuliwa na fedha zilizotumika. Nae Afisa wa TAKUKURU Ndg Emanuel Fransis  akaisihi kamati hiyo kuwa wazalendo na fedha hizo kwani endapo taarifa za ubadhilifu zitabainika hatua kali zaidi za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.

Vilevile kwa nyakati tofauti Maafisa Maendeleo Geoffrey Haule na Agnes Willa , wameisihi Kamati ya ujenzi Inayoongozwa na Mwalimu Mkuu kuishirikisha jamii ikiwa ni pamoja na Wazee Ili kuweka uwazi wa Miradi hali ambayo itasaidia wananchi kujitolea kwa Imani kubwa.

Akitoa pongezi kwa Ofisi ya Mkurugenzi na Wataalam kwa namna wanavyopambana kuhakikisha ujenzi wa shule unakamilika kwa wakati Diwani wa Kata hiyo Musa Milanzi ameiomba serikali kusaidia kukamilisha Jengo la kina Mama la kujifungulia Katika Zahanati ya Kiasi ambalo mpaka sasa ujenzi upo Katika hatua ya upandishaji Kuta .

Aidhaa Katika Mkutano huo Afisa Maendeleo Tarafa ya Mbwera Geofrey Haule,akaongoza  harambee ya kuendeleza ujenzi wa Jengo la kujifungulia kina Mama ambapo ilipatikana jumla ya sh 245,000 ambapo ahadi ni 185,000 na fedha iliyopatikana papo hapo ni sh 60,000 huku ofisi ya Mkurugenzi mtendaji ikiahidi sh .10,000,000 kwa ajili ya kukamilisha Jengo hilo.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KANALI KOLOMBO:SERIKALI INATAMBUA MCHANGO WA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI

    June 12, 2025
  • PPRA KANDA YA PWANI YATOA MAFUNZO KUHUSU SHERIA YA UNUNUZI WA UMMA NA MFUMO WA KIELEKTRONIKI WA UNUNUZI WA UMMA

    June 12, 2025
  • KANALI KOLOMBO AIPONGEZA MARINE PARKS KUANZISHA MIUNDOMBINU YA KUHIFADHI NA KULINDA MATUMBAWE BAHARINI

    May 10, 2025
  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.