• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

MSAADA WA TASAF KWA KAYA MASKINI

Posted on: December 6th, 2022

TASAF YATOA RUZUKU KIBITI

UNICEF YAWASITIRISHA MABINTI KUTOKA KAYA ZA WALENGWA.

TAREHE 6/12/2022, Mfuko wa Hifadhi za Jamii TASAF Wilaya ya Kibiti umetoa ruzuku ya septemba -Oktoba  kwenye kaya masikini zilizoainishwa ikiwa ni utaratibu wa Serikali ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania  kuzisaidia kaya zisizojiweza  (masikini) kwa kutoa fedha za  kijikimu ili kuweza kujikwamua kimaisha .

Ruzuku hiyo ambayo hutolewa kwa mwezi kila baada ya miezi miwili huzigusa kaya masikini kwa sifa za kufanyiwa upembuzi yakinifu kutambua walengwa wenye uhitaji ambapo jumla ya sh 886,275 zimetolewa kwenye kaya 38 katika Kijiji cha Mangombela na sh 1,090,372 katika Kijiji Cha Bungu B ambapo kaya 54 zimepokea fedha hizo kwa kila kaya kulingana na kiwango kilichoainishwa.

Vilevile zoezi liliambatana na kukabidhiwa kwa sh  170,000 katika kila kijiji Kwa ajili ya malipo ya watenda kazi na matumizi ya dharura kama ilivyoelekezwa.

Aidha akikabidhi malipo hayo mwezeshaji wa zoezi hilo Laban Kitule amezieleza kaya hizo kuhakikisha fedha wanazozipata zinatumika kwa umakini na kuhakikisha wanajiwekea akiba Kwa kufanya miradi midogo midogo ya kujiingizia kipato sambamba na kujiunga katika vikundi kwa ajili ya kupata mikopo ya Maendeleo.


Katika hatua nyingine TASAF Kwa msaada wa  shirika la watoto Duniani (UNICEF) mwezeshaji Laban Kitule amekabidhi msaada wa taulo za kike za kufua, nguo za ndani, ndoo za kuogea na sabuni za kufulia lengo likiwa ni kuwasitiri watoto wa kike waliopo kwenye kaya za walengwa Kwa kujali afya zao, kuimarisha usafi kwa ujumla na kuwaweka huru   darasani wanapokuwa katika siku zao.

Jumla ya watoto 36 wamepokea msaada huo, ambapo 18 wametokea Kijiji cha Mangombela na 18 wanetoka katika Kijiji cha Bungu B Katika Kata ya Bungu.


Mwisho  Wananchi wa vijiji hivyo kwa nyakati tofauti wamefurahishwa na kushukuru baada ya kupokea msaada huo  na kuishukuru Serikali ya awamu ya 6 Kwa namna inavyohakikisha inawafikia na kuwasikiliza wananchi wa tabaka la chini.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.