• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

MUZIKI MNENE KIBITI KUHAMASISHAJI CHANJO YA CORONA 3157 WAJITOKEZA KUPATA CHANJO YA UVIKO 19 KIBITI.

Posted on: December 14th, 2022


Ofisi ya Rais TAMISEMI kupitia Wizara ya afya kwa kushirikiana na E Fm  MUZIKI MNENE imeendesha kampeni ya BEGA KWA BEGA UJANJA KUCHANJA yenye lengo la kuongeza kasi ya chanjo ya uviko 19 kwa hiari katika Mkoa wa Pwani kuanzia Disemba 14-20 mwaka huu.

Tamasha hilo linahusisha wasanii mbalimbali katika kutoa hamasa ya uchanjaji wa chanjo ya uviko 19 katika wilaya zote  za mkoa wa PWANI kama ilivyoelekezwa ambapo katika wilaya ya Kibiti kampeni hiyo imefanyika Kata za Kibiti ,Bungu na Mjawa.

Jumla ya watu 3157  wamejitokeza na kupata chanjo ya uviko 19 kati yao wanawake ni 1724 wanaume ni 1433 ambapo katika tamasha hilo wanawake wameongoza kwa idadi kubwa zaidi kujitokeza kuchanja.

Awali, kaimu Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Meja Edward Gowele aliwataka wakazi wote wa kibiti ambao hawajapata chanjo wajitokeze KUCHANJA kwani chanjo ni salama haina madhara yeyote. Pia aliwasisitiza wananchi kutoa ushirikiano kwa wanaotoa chanjo mitaani ili kurahisisha huduma hiyo.

Aidha Mganga Mkuu wa Wilaya Elizabeth Oming’o ameipongeza serikali kwa ubunifu wa kutumia wasanii kwani imekuwa ni hamasa kubwa mbali na burdani, huduma imefika kwenye jamii na watu wamechanja. Hata hivyo amefurahishwa na tamasha la MUZIKI mnene ambalo limeshirikisha wasanii na mwitikito umekua ni mkubwa sana Kwa Wilaya ya Kibiti.

Aidha, Oming’o ametoa wito wa kuendelea kutoa elimu na kuhamasisha wananchi wote kwa ujumla wahamasike kuchanja na kuondokana na taarifa za kupotoshwa kwani chanjo hiyo ni salama na haina madhara yeyote.

Akizungumza kwa niaba ya wakazi wa Kibiti Mbegu Abdallah Mzuri amesema wamefurahishwa na uratibu wa huduma hiyo kwani wameelishwa na kuburudishwa kwa wakati mmoja na watu wamechanja ni hamasa iliyovutia sana.

Zoezi hili ni endelevu kwani ugonjwa bado upo na unaua, na hii ni awamu ya pili ya chanjo kwa ufadhili wa shirika la afya duniani Katika mikoa ambayo awali hamasa ilikuwa ndogo na idadi ya watu waliochanja ilikuwa ndogo pia ukiwepo na Mkoa wa PWANI.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KANALI KOLOMBO AIPONGEZA MARINE PARKS KUANZISHA MIUNDOMBINU YA KUHIFADHI NA KULINDA MATUMBAWE BAHARINI

    May 10, 2025
  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.