• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

MVUA ILIYOSABABISHA MAAFA

Posted on: January 13th, 2023

13/01/2023 Kamati ya Ulinzi na Usalama, Idara ya Elimu na Muhandisi wa Wilaya ya kibiti imefanya ziara ya dharula ya kutathmini uharibifu wa majengo ya shule 3 zilizoezuliwa mabati kutokana na mvua kubwa iliyonyesha ikiwa imeambatana na upepo mkali.

Wakiwa katika shule sekondari Mtawanya katika Kata ya Mtawanya, kamati hiyo ikiongozwa na Katibu Tawala wa Wilaya Milongo Sanga wamejionea hali halisi ya uharibifu uliotokea wa kuezuliwa bati katika Jengo jipya  la maabara ambalo liko katika hatua ya umaliziaji.

Kwa upande wa shule za msingi katika Kata ya Kibiti Jengo la nyumba ya Mwalimu katika shule ya msingi Kitundu limeezuliwa na kuweka nyufa katika kuta wakati katika shule ya msingi Mwangia siku moja kabla chumba cha darasa la Saba kiliezuliwa bati pia kutokana na mvua hizo zinazoendelea kuonyesha.

Kwa nyakati tofauti Katibu Tawala Sanga ametoa pole kwa shule zote zilizopatwa na changamoto hizo, huku akisisitiza hatua za haraka zichukuliwe kufanya marekebisho ya majengo hayo ili yasiendelee kuharibika ukizingatia ni kipindi cha msimu wa mvua bila kuathiri ratiba za masomo zinazoendelea baada ya  shule zote kuwa zimefunguliwa Januari 9.

Akitoa tathmini ya madhara hayo, Mhandisi wa Wilaya Kassim Mponda amesema katika Shule ya sekondari Mtawanya kutahitajika mabati 20 kwa ajili ya marekebisho, jipsam bodi 24,mikanda 5, mbao 30 za 2x2 kwa ajili ya papi, kofia 2, misumari inchi 4 kg 1 Kwa ajili ya kenchi na misumari ya bati kg 1.

Aidha, Mhandisi Mponda amesema, katika shule ya msingi Kitundu kutahitajika mabati 14, mbao18 za 2x2  kwa ajili ya papi, misumari ya kenchi inchi 4 kg 1 na misumari ya mabati kg 1 wakati  katika shule ya msingi Mwangia kutahitajika mabati 15, mbao 4 za 2 x 3 kwa ajili ya papi ,misumari ya kenchi inchi 4 kg 1,na misumari ya mabati kg 1.

Matangazo

  • TANGAZO KWA WAFUGAJI WOTE WILAYA YA KIBITI December 29, 2022
  • TANGAZO KWA WAKULIMA WOTE WILAYA YA KIBITI December 30, 2022
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI WA WATOTO DARASA LA AWALI NA DARASA LA KWANZA December 23, 2022
  • Matokeo ya Uchaguzi wa wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato Cha kwanza 2023. December 14, 2022
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA LISHE ROBO YA PILI

    January 24, 2023
  • WADAU WA ELIMU KUTAFUTA MWAROBAINI WA KUSHUKA KWA UFAULU WILAYANI KIBITI

    January 25, 2023
  • WAFANYABIASHARA WILAYANI KIBITI WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA Z UWEKEZAJI.

    January 23, 2023
  • DC KIBITI AZINDUA KITUO CHA AFYA MJAWA.

    January 19, 2023
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.