• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

MZAVA ARIDHIA MIRADI YOTE YA MWENGE 2024 YENYE THAMANI YA BIL. 2.4 WILAYANI KIBITI, ASISITIZA KUACHA TABIA YA UBAGUZI NA UNYANYASAJI KWA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM.

Posted on: May 7th, 2024

Mwenge wa Uhuru ulioanza kukimbizwa rasmi Mkoa wa Pwani tarehe 29 April 2024 hatimaye Jana tarehe 6 Mei 2024 uliwasili katika Wilaya ya Kibiti na kumulika miradi mbalimbali ya Maendeleo ambayo iliridhiwa na kiongozi wa mbio za Mwenge wa UHURU kitaifa Ndg. Godfrey Mzava ukiwa na kauli mbiu isemayo "Tunza Mazingira na Shiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa Ujenzi wa Taifa Endelevu"

Akikagua miradi Kiongozi huyo wa Mbio za Mwenge Uhuru Kitaifa 2024 ametoa wito kwa jamii kutowaficha watoto wenye mahitaji maalum na kukemea tabia ya baadhi ya watu kuwabagua  na kuwanyanyasa watoto hao kwani nao Wana haki kama watu wengine.

Kiongozi huyo amesema hayo alipokuwa akizindua mradi wa kukabidhi chakula kwa watoto wenye mahitaji maalum katika shule ya Msingi Kitundu ambayo ni shule pekee inayotoa elimu kwa watoto wenye mahitaji maalum Wilayani humo.

Vilevile Kiongozi huyo amesisitiza utunzaji wa mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi kama ambavyo Ofisi ya Makamu wa Rais inavyoelekeza kupanda miti Milion 1.5 kila mwaka ili kurudisha uoto wa asili ikiwa ni pamoja na shughuli zote za uzalishaji kwa kuzingatia uendelevu na utunzaji wa mazingira. Mzava amesema hayo alipokuwa akikagua mradi wa utunzaji miti katika Shule ya Sekondari Mtawanya.

Akiwa katika mradi wa maji Mjawa kabla ya kuweka jiwe la Msingi Kiongozi huyo alisisitiza umuhimu kuendelea kutumia mfumo wa manunuzi ya Umma Serikalini (NEST) ambao umeonekana kupunguza malalamiko ya wazabuni kwa asilimia kubwa na kuachana na tabia ya kuingia mikataba ya makubaliano mezani.

Aidha alipokuwa akizindua mradi wa lishe Shule ya Msingi Itonga, Mzava ameiagiza Idara ya afya Kitengo cha lishe kutokukaa maofisini na badala yake kuambatana na viongozi katika ziara zao ili waweze kutoa elimu ya lishe kwenye jamii nayo iweze kutambua utaratibu mzuri wa ulaji wa chakula na si kula chochote kile bali wazingatie wanakula nini.

Awali mapema asubuhi akipokea Mwenge wa Uhuru wilayani humo Mkuu wa Wilaya Kanali Joseph Kolombo alisema kuwa Mwenge huo utakimbizwa km 83.7 na kumulika  miradi ya maendeleo 15 yenye thamani ya sh. Bil 2.4, hivyo miradi yote iliridhiwa kwa kukaguliwa, kufunguliwa na kuzinduliwa.


Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.