• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

NAIBU WAZIRI WA ELIMU AKAGUA UJENZI CHUO CHA VETA KIBITI, ASISITIZA KUFUATA MAELEKEZO YA MCHORO WA JENGO

Posted on: March 27th, 2024

26.03.2024

Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na teknolojia Mhe. Omary Kipanga, amekagua Ujenzi wa majengo 9 ya awamu ya kwanza yenye thamani ya sh. Bil. 1.465 ya Chuo cha VETA Wilayani Kibiti kinachojengwa katika Kata ya Bungu.

Akikagua Ujenzi huo amewaagiza wasimamizi wa Ujenzi huo kuhakikisha wanasimamia kwa umakini mkubwa kwa kufuata maelekezo ya michoro waliyopewa ili majengo hayo yaweze kudumu hata kwa vizazi vijavyo, huku akisisitiza kuhakikisha kasoro zilizoonekana zinarekebishwa haraka kabla ya ujenzi huo kukamilika.

"Tumepewa dhamana na Rais kusimamia Ujenzi huu, ni wajibu wetu kusimamia kikamilifu tuweze kutimiza ndoto ya Rais".  

"Kwa yeyote atakayeonekana ana nia ya kukwamisha mradi huu tutamwondoa mara moja" Alisema Mhe. Kipanga.

Licha ya kutoa pongezi kwa Serikali kuona umuhimu wa kujenga chuo hicho Kibiti  Msimamizi wa ujenzi kutoka chuo cha maendeleo ya wananchi FDC Bi. Renalda Kyaruzi amesema wanakabiliwa na changamoto ya kukosekana kwa umeme, mtaalam wa manunuzi, usafiri kutokana na hali ya mvua, uzembe kwa baadhi ya mafundi, hati miliki na kuchelewa kufika kwa baadhi ya vifaa.

Aidha Kanali Joseph Kolombo ameshukuru ujio wa Naibu Waziri na wataalam wake huku akiahidi kusimamia na kufuata maelekezo yaliyotolewa kuhakikisha chuo kinakamilika kwa wakati na ubora unaotakiwa. 

Naye Afisa Elimu Mkoa wa Pwani Mwl. Sara Mlaki, amemshukuru Mhe. Rais SSH kwa kuujali Mkoa wa Pwani na Wilaya zake hata kuwapelekea miradi ya maendeleo hususani chuo cha VETA sambamba na pongezi nyingi kwa Naibu Waziri kwa kutenga muda wake kukagua mradi huo.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.