• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

NANE (08) WATEULIWA KUGOMBEA UDIWANI KATA YA MLANZI.

Posted on: March 4th, 2024

Wagombea kumi na moja (11) wa nafasi ya Udiwani wamejitokeza kuchukua fomu za uteuzi katika kata ya Mlanzi, Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti. Hatua hii ni kufuatia  ratiba ya Uchaguzi mdogo wa Madiwani iliyotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi.

Fomu za Uteuzi zilianza kutolewa tarehe 27 Februari, 2024 hadi 04 Machi, 2024. Leo tarehe 04 Machi, 2024 ndiyo ilikuwa siku ya mwisho kuchukua na kurudisha fomu hizo, lakini pia ndiyo siku ambayo Uteuzi wa Wagombea umefanyika.

Wagombea waliochukua fomu ni 11, waliorudisha walikuwa 9, Walioteuliwa 8 na ambaye hakuteuliwa ni 1. 


Wagombea waliojitokeza na kuchukua fomu ni kutoka Vyama vya: UPDP, UMD, ADC, CCM, UDP, DEMOKRASIA MAKINI, CUF, NRA, ACT-WAZALENDO, AAFP pamoja na ADA-TADEA.

Mpaka kufikia leo tarehe 04 Machi, 2024 wagombea wote waliochukua Fomu walipaswa kurudisha fomu hizo lakini ni wagombea tisa(9) pekee ndiyo waliorudisha fomu hizo.

Wagombea waliorudisha fomu za Uteuzi ni kutoka vyama vya UPDP, UMD, CCM, UDP, DEMOKRASIA MAKINI, CUF, NRA, ACT-WAZALENDO, pamoja na ADA-TADEA.


Wagombea ambao hawakurudisha fomu za Uteuzi ni kutoka vyama vya ADC na AAFP.


Baada ya kupokea na kupitia fomu zote zilizorudishwa wagombea nane (08) waliofanikiwa kuteuliwa. Wagombea hao ni: Mussa Juma Maramuah (UDP), Wazuri Yusuph Mbolembole (UPDP), Mketo Athumani Ally (CCM), Ramadhani Saidi Bambo (Demokrasia Makini), Ramadhani Hamisi Ngatakwa (UMD), Seifu Amiri Mwamba (ACT), Abdallah Hamisi Makitia (CUF) pamoja na Athumani Mzuzuri Sadick (NRA).


Mgombea ambaye hakuteuliwa ni Bakari Adinani Mziwanda kutoka chama cha ADA-TADEA.


Kulingana na ratiba ya Uchaguzi mdogo wa Madiwani, Kampeni za Uchaguzi zitaanza kufanyika kesho tarehe 05 Machi, 2024 mpaka tarehe 19 Machi, 2024 wakati uchaguzi mdogo wa Madiwani unatarajiwa kufanyika tarehe 20 Machi, 2024 katika Kata 23 za Tanzania bara.


Ewe mwananchi usipoteze nafasi ya kumchagua mgombea unayemtaka, Shiriki kila hatua ya uchaguzi huu kikamilifu.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.