• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

NEMC WATOA MSAADA WA VIFAA MBALIMBALI KWA WALIOFIKWA NA MAFURIKO KIBITI, WAHIMIZA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIA NCHI NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA.

Posted on: May 17th, 2024

16.5.2024.

Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo amepokea msaada wa vifaa mbalimbali  kutoka Baraza la Taifa la Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kwaajili ya kusaidia waathirika wa mafuriko wanaoishi kambini Wilayani humo.

Akikabidhi msaada huo kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa  NEMC, Meneja wa Kanda ya Mashariki Kusini Bi. Lilian Kapakala amesema vifaa walivyoleta ni nguo mchanganyiko mafurushi 11, viatu mchanganyiko begi 1 na shuka kubwa aina ya duveti PC 1.

Akitoa pole kwa waathirika hao Bi. Liliani amesema kwamba Mazingira ni uhai kwa wananchi wote hivyo kuna haja ya jamii kwa ujumla kuhakikisha inapambana na mabadiliko ya tabia nchi  yanayosababisha mvua nyingi tofauti na msimu.


Akisisitiza zoezi la upandaji wa miti Meneja huyo amesema inapaswa kuunga mkono kauli ya Rais SSH kama alivyoelekeza kuacha kukata miti hovyo kwa ajili ya nishati ya kupikia kwani itatusaidia kuondokana na changamoto za ukataji wa miti, miti takribani 46000 inayopotea kwa mwaka nchini.


Hakuishia hapo Mwakilishi huyo wa Mkurugenzi Mkuu wa NEMC amesisitiza kuwa kuna kila sababu ya wananchi kuhama kabisa katika maeneo ambayo ni korofi na kwenda kuishi katika maeneo salama ili kuweza kuruhusu maji kupita kwa urahisi katika mkondo wake.


Akitoa shukrani kwa niaba ya wakazi wa Kibiti Kanali Kolombo amewashukuru NEMC kwa kuwaona wanakibiti lakini pamoja na shukrani hizo hakusita kueleza uhitaji walionao wananchi wa kibiti kwa sasa kwani wanaomba kusaidiwa kupata mbegu mbalimbali za muda mfupi ili waweze kupanda mazao kwa ajili ya chakula kwakuwa wanajua itafika wakati misaada hiyo itakoma.


Aidha kuhusu utunzaji wa Mazingira Kanali Kolombo amesema atasimamia kikamilifu kuhakikisha miti yote iliyopandwa inatunzwa na kukua ili kurejesha uoto wa asili.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KANALI KOLOMBO AIPONGEZA MARINE PARKS KUANZISHA MIUNDOMBINU YA KUHIFADHI NA KULINDA MATUMBAWE BAHARINI

    May 10, 2025
  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.