• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

NMB YATOA MABATI 200 NA COMPUTER 1 KWA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

Posted on: November 22nd, 2022

Kaimu mkuu wa wilaya ya kibiti Meja Edward Gowele amepokea msaada wa mabati 200 yenye thamani ya shilingi 10,000,000 kutoka  Kwa bank ya NMB Kanda ya Dar es salaam Kwa ajili ya kuezekea shule 3  zilizoezuliwa na kimbunga katika shule ya msingi Mangombela, Mlanzi na Ngondai mwezi machi mwaka huu baada ya upepo mkali ulioambatana na mvua kubwa kusababisha maafa hayo.

Meja Gowele ameishukuru benki ya NMB na watenda kazi wake kwa msaada walioutoa na kuwapongeza kwa namna walivyokua wepesi  kuitikia wito baada ya kupokea taarifa za janga hilo katika shule za msingi na akawataka kuendelea na moyo huo wa kujitoa kwaajili ya jamii.

Vilevile Mkuu wa Wilaya mhe. Gowele amepokea komputa mbili, zitakazogawiwa idara ya utumishi katika halmashauri ya Wilaya ya Kibiti na Rufiji kutoka kwa wafanyakazi wa benki ya NMB ikiwa ni utamaduni wao wa kurudisha na kuithamini jamii kwa michango yao binafsi nje ya ofisi.

Katika tukio hilo Meja Gowele amewataka watoto kusoma kwa bidii na kuepukana na utoro shuleni kwani Elimu ndiyo mtaji mkubwa katika ulimwengu wa sasa,huku akiwataka wazazi kusimamia na kuhakikisha watoto wanahudhuria masomo sambamba na zoezi la kufungua akaunti katika benki ya NMB kwani ni wadau wakubwa wa serikali na jamii kwa ujumla katika kutoa huduma mbalimbali nchini .

Aidha Afisa Elimu Msingi Zakayo Mlenduka kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji Mohamed Mavura ameishukuru Benki ya NMB kwa msaada walioutoa na kusema kwamba , Halmashauri ya kibiti itatoa mbao na misumari  kuezeka nyumba za walimu.

Akikabidhi msaada huo wa mabati 200 meneja wa benki ya NMB Kanda ya Dar es salaam Donatus Richard amesema, swala la Elimu ni kipaumbele katika benki yao,hivyo wametoa mabati hayo kuezeka shule hizo 3 zilizopata changamoto ya kuezuliwa mabati lengo likiwa ni  kuhakikisha watoto wanapata elimu wakiwa salama.

Pia katika hafla hiyo Ndg. Donatus ameeleza kuwa wafanyakazi wa benki ya NMB kanda ya Dar es salaam kwa kuona umuhimu wa kusaidia jamii wamechanga pesa zao binafsi na kununua komputa 24 ambazo zitagawiwa katika Halmashauri za wilaya za dar es salaam na Pwani, wamechangia damu katika benki ya damu na pia wamewalipia matibabu Watoto yatima 100 (NHIF cards), Wamewalipia Watoto walioshindwa kilipiwa gharama za matibabu katika hospitali ya Muhimbili Taasisi ya Jakaya kikwete (JKCI) ikiwa ni sehemu yao ya  kuijali jamii wanayoihudumia.

Benki ya NMB imekua na utaratibu wa Kila mwaka kutenga asilimia Moja ya faida wanayoipata maalum Kwa ajili ya kurudisha shukrani kwenye jamii inayowazunguka.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.