• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

PAKAYA WAREJEA KIBITI KWA KISHINDO NA MRADI WA UHIFADHI WA MAZINGIRA DELTA YA RUFIJI.

Posted on: September 13th, 2024

11.09.2024.

Katibu Tarafa ya Kibiti Ndg. Salum Mzaganya ametoa rai kwa Taasisi ya PAKAYA  Wilaya ya Kibiti kushirikisha Serikali za vijiji husika katika shughuli zote za mradi huo ili waweze kupata taarifa za kinachoendelea na kufanya ujasiliamali kwa weledi zaidi.

Mzaganya amesema hayo katika ukumbi wa Halmashauri hiyo alipokuwa akizindua mradi wa uhifadhi wa mazingira delta ya Rufiji kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo.

Katika uzinduzi huo Ndg. Mzaganya amelipongeza shirika hilo lisilo la kiserikali kwa kujikita na kuanzisha huduma ya utunzaji wa mazingira jambo litakalosaidia kutunza mikoko, lakini pia litasaidia kuhamasisha ufugaji nyuki na uanzishwaji wa utalii mdogo mdogo.

Mbali na hayo Katibu Tarafa huyo amesisitiza zoezi la upandaji wa mikoko kuwa endelevu kwa kuhakikisha kunakuwepo  na takwimu sahihi, za miti iliyopo na itakayopandwa ili kutambua idadi ya mikoko iliyopandwa kila baada ya muda Fulani.

Aidha Mwenyekiti wa PAKAYA Mhe. Abdallah Pendekezi amesema uzinduzi huo umelenga kutekeleza mradi wa mazingira upande wa delta ya Rufiji- Kibiti kwa kupanda miti ya mikoko katika maeneo yaliyoathirika pamoja na kutengeneza vituo vidogo vya kuhamasisha na kuendeleza utalii wa kiikolojia. 

Licha ya hayo Mhe. Pendekezi amesema uanzishwaji na uendelezaji wa ufugaji wa nyuki pia utafanyika  katika baadhi ya vijiji jambo litakavyowezesha wananchi kupata kipato kwa kuanzisha vituo vidogo vidogo  vya biashara.

Aidha  Mkurugenzi Mtendaji wa PAKAYA Bw. Hassan Kisoma amebainiaha kuwa  Mradi huo utakapoanza utaweza kuchangia pato la Serikali kwani, wanatarajia kwa kima cha chini utaweza kuzalisha Euro 152,000 kwa mwaka. 

Mradi huo unategemewa kutekelezwa katika Kata 5 ambazo ni Kiongoroni, Mbuchi, Maparoni, Msala, Mwambao na Salale.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.