• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

PAKAYA WAWAPIGA MSASA WAKAZI WA DELTA JUU YA UFUGAJI NYUKI, UPANDAJI MIKOKO NA UTALII IKOLOJIA.

Posted on: October 24th, 2024

Katika kuhakikisha uhifadhi wa Mazingira unaimarika, Serikali imeendelea kuhamasisha na kuweka juhudi za kuhifadhi maliasili za uoto wa asili kwa kutoa makatazo mbalimbali yanayosababishwa na shughuli za kibinadamu kwa kuwapa wananchi husika kazi mbadala za kuwaongizia kipato.

Katika kutekeleza hilo Serikali iliweza kutoa mizinga ya nyuki, boti za kisasa za Uvuvi ili kuweza kuinusuru delta ya Rufiji hususani Kibiti ambayo kwa asilimia kubwa huathiriwa na shughuli za binadamu.


Hayo yamebainishwa na Mhe. Mkuu wa Wilaya Kanali Joseph Kolombo alipokuwa akifungua warsha ya mafunzo ya ufugaji wa nyuki, upandaji wa mikoko na utalii ikolojoa katika ukumbi wa Chama cha walimu ulioandaliwa na PAKAYA.

Mkuu huyo wa Wilaya amewaagiza PAKAYA kuwa na malengo makubwa ambayo yataleta tija kwa kuwa na mikakati madhubuti na kuisimamia itekelezeke kama vile kutambua idadi ya mikoko itakayopandwa kwa mwaka, mizinga mingapi itatolewa sambamba na kuimarisha utalii ikolojoa kwa uchumi.

Aidha, Kanali Kolombo ameyashukuru mashirika mbalimbali ya Mazingira yakiongozwa na PAKAYA kwa namna yanavyopambana kurejesha hali ya uoto wa asili uliokuwepo awali katika Wilaya ya Kibiti.

 Kwa upande wake Mwenyekiti wa kikundi cha Mazingira na utamaduni (PAKAYA) Mhe Abdallah Pendekezi amesema dhamira ya PAKAYA ni kuhamasisha uhifadhi shirikishi wa mazingira kwenye jamii


Pia Mhe. Pendekezi amesema katika awamu hii tayari wameshanunua zaidi ya mizinga 20 ambayo wanatarajia kuigawa baada ya zoezi la upandaji mkikoko kukamilika ili waweze kuanza ufugaji wa nyuki.

Nao washiriki wa warsha mwisho wa mafunzo wamesema wamefurahia mafunzo na yamewasaidia kujua vitu vipya kama vile namna ya kupanda mikoko, namna ya kujiongezea kipato kupitia utalii ikolojo, umuhimu wa kutunza Mazingira, namna ya kufuga nyuki na faida zake n.k.


Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.