• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

RAIS SAMIA : DUMISHENI AMANI NA UTULIVU NA KUFANYA KAZI KWA BIDII

Posted on: September 20th, 2023


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka wananchi wa Wilaya ya Kibiti kuishi kwa kudumisha amani na utulivu huku akiwasisitiza kufanya kazi kwa bidii Kwa ajili ya kujipatia maendeleo.

" Ili muweze kufanya maendeleo, dumisheni Amani na Utulivu wa Wilaya" Alisema Rais Samia

Amesema hayo baada ya kuwasili katika kituo cha mabasi Kibiti akielekea wilayani Mkuranga kuzindua kiwanda cha kutengeneza vioo vya kutengenezea  vyombo vya majumbani (glass ) akitokea mikoa ya Mtwara na Lindi ikiwa ni  ziara zake za kawaida nchini na kuahidi kurudi kibiti maalumu kwa ajili ya kuzungumza na wananchi.

Akijibu maombi ya Mbunge wa Jimbo la Kibiti Mhe. Rais Samia amesema, mradi wa barabara ya Lami kutoka Bungu hadi nyamisati, ameuchukua na ataangalia kadri itakavyowezekana kulingana na bajeti.

Kuhusu mradi wa ghala pia ameuchukua huku akisisitiza kuwa kuna wakati inabidi Wilaya kama Wilaya  kutafuta fedha kwa namna yeyote ikibidi hata kukopa kuhakikisha miradi inatekelezeka na siyo kusubiri mpaka Serikali itafute fedha.

Vilevile kwa upande wa zoezi la ugawaji wa vitalu vitalu linaloendelea kutekelezwa Wilaya ya Kibiti Rais Samia amesema wanaopewa vitalu hivyo  wawe ni wafugaji wanaojulikana siyo kwa mtu yeyote  anaehitaji.

" Katika zoezi la ugawaji wa vitalu hakikisheni mnaowagawia wawe wafugaji mnaowajua ( wanaotambulika Wilayani) na siyo tu kwamba watu wanataka vitalu" Alisema Dkt. Samia.


Hata hivyo, Mbunge wa Jimbo la kibiti Mhe. Twaha Mpembenwe akitoa salamu za Jimbo la Kibiti, amempongeza Rais Samia kwa kutoa fedha nyingi za miradi ya maendeleo na kutekeleza miradi mbalimbali wilayani kibiti.

Awali maombi ya Mhe. Mpembenwe yalihusu ujenzi barabara ya lami kutoka Bungu mpka Nyamisati, kupatikana kwa banio kwa ajili ya kilimo cha mpunga  pamoja na mradi wa Ghala la mazao.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KANALI KOLOMBO AIPONGEZA MARINE PARKS KUANZISHA MIUNDOMBINU YA KUHIFADHI NA KULINDA MATUMBAWE BAHARINI

    May 10, 2025
  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.