• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

RC KUNENGE ATOA MAELEKEZO YA BAADA YA ZIARA YA MAWAZIRI MAENEO YA DELTA.

Posted on: June 8th, 2023

Kwaniaba ya MKUU wa Mkoa wa Pwani, Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Kanali Joseph kolombo amefanya ziara ya kutoa maelekezo ya ziara ya Mawaziri baada ya kuazimia upembuzi yakinifu uliofanywa na jopo la Mawaziri 8 katika maeneo ya delta ya Rufiji Wilayani Kibiti, na kubaini uwepo wa shughuli za kibinadamu zinazokinzana na Uhifadhi wa MISITU ya mikoko na utunzanji wa mazingira.


Akizungumza na wananchi kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo awali aliwataka wananchi hao, kusikiliza kwa umakini maelekezo yaliyotolewa na Mtaalamu kutoka Ofisiy a Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Felix Nlalio ili waweze kuyafanyia kazi kwa vitendo.

Akisoma maelekezo hayo Kanali Kolombo Alisema kuwa Moja ya maelekezo yaliyotolewa ni pamoja na kusitishwa kwa Shughuli zote za kilimo katika vijiji vyote vilivyovamia eneo la misitu ya mikoko ili kuruhusu uendelevu wa hifadhi hizo.

Vilevile Mkuu wa Mkoa amezielekeza Halmashauri na wakala wa Misitu Tanzania TFS kuanzisha kamati za vikundi vya Uhifadhi wa Misitu ya mikoko vitakavyojihusisha na utoaji wa elimu ili kuweza kudhibiti uoto wa asili uliopo.

Hata hivyo maelekezo hayakuishia hapo pia Mkuu wa Mkoa amemuelekeza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri kupitia mikopo kufanya jitihada za kuiwezesha idara ya uvuvi kuunda vikundi ili Wavuvi wapate zana za kisasa zitakazowasaidia kuvua katika maji ya kina kirefu.

 Aidha Idara ya Mifugo na Uvuvi imeelekezwa kuandaa na kusimamia ratiba ya uvuvi wa kamba miti, kwa kuwashirikisha wadau wakiwemo wavuvi wadogo wadogo ambao kiuhalisia ndiyo Wahifadhi wakubwa wa eneo la misitu ya mikoko ambayo ndiyo chanzo cha mazalia ya samaki.

Awali Akisoma maazimio hayo Mhandis Nlalio kutoka mkoani Alisema jopo la Mawaziri  baada ya kupokea mapendekezo ya uchunguzi uliofanywa limetoa  maazimio manne kama ifuatayo:-

1. Kusitisha shughuli za kilimo katika vijiji vyote vya delta vilivyovamia eneo la misitu ya mikoko ili kuweza kuendeleza Uhifadhi huo.

2. Kuanzisha kamati ya vikundi vitakavyokuwa vikitoa elimu ya Uhifadhi wa Misitu ya mikoko. (VNR na BMU) n.k.

3.Wavuvi kuwezeshwa kupata zana zinazokubalika na kuweza kuvua katika maji ya kina kirefu, ili kuweza kupunguza nguvu kwenye maji mafu ambayo ndiyo mazalia ya samaki.

4. Ratiba ya uvuvi wa kamba miti iandaliwe kwa kushirikisha Wadau ambao ni wavuvi wadogo wadogo.


Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KANALI KOLOMBO AIPONGEZA MARINE PARKS KUANZISHA MIUNDOMBINU YA KUHIFADHI NA KULINDA MATUMBAWE BAHARINI

    May 10, 2025
  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.