• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

SAMAKIBA WATOA VIFAA VYA KUSAIDIA WATOTO NJITI KATIKA HOSPITALI ZA WILAYA.

Posted on: June 22nd, 2023

Ikiwa ni msimu wa 6 Mfululizo wa tamasha la nifuate SAMAKIBA linalochangisha na kusaidia jamii,  leo wamekuja na  NIFUATE UPENDO WA ZAMBARAU, IMBA, CHEZA NA MTOTO NJITI  kupitia mchezo wa mpira wa miguu uliochezwa katika uwanja wa Azam complex kuanzia  majira ya saa 11 jioni .

Kupitia tamasha no hilo Hospitali ya wilaya ya Kibiti  imepokea msaada vifaa tiba vyenye thamani ya sh 70,000,000 kutoka kwa wadau mbalimbali wa maendeleo ya samakiba na Doris mollel kwa ajili ya kuchangia na kusaidia watoto ambao wamezaliwa kabla ya muda (NJITI).

Akikabidhi vifaa hivyo Dorris Mollel kutoka Dorris foundation amesema Vifaa tiba vilivyotolewa ni Vitanda vya watoto wachanga 10, Mashine ya kuzalisha hewa ya oxygen 3, Mashine ya umeme ya kuvuta uchafu 1, Mashine ya mguu ya kuvuta uchafu 4, Mipira ya kuvuta / kupitisha uchafu unaovutwa boksi 10, Mabegi ya shule 25 , Vifaa  vya kujifungulia 12 , vipima uzito  kwa watoto wachanga 2 na ambu bag 10.

"Baby cot 10, oxygen conc. 3, weigh scale 2, pedal suction 4, electrical suction 1, ambu bag 10, suction tube 10 box, delivary kit 12, school bag 25". Kwa majina ya kilaalam. Kiivyo

Vilevile Bi Dorris Alisema vifaa hivyo vilivyokabidhiwa katika Hospitali ya Wilaya ya Kibiti, ndivyo vitakabidhiwa pia katika Hospitali ya Wilaya ya Buhingwe mkoani Kigoma.

Mara baada ya kukabidhiwa vifaa hivyo kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Kibiti Denis Kitali ameishukuru Taasisi ya SAMAKIBA kwa kushawishi na kuwezesha upatikanaji wa vifaa tiba Wilaya ya Kibiti,  kwani kutokana na uhaba uliokuwepo, vinakwenda kuwa msaada mkubwa wa  kutatua changamoto ya watoto waliozaliwa kabla ya wakati (NJITI).

Akipokea vifaa hivyo Mganga Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Dkt. Elizabeth Oming'o alisema, amefarijika sana kupata msaada huo kwani utaokoa maisha ya vizazi vilivyokuwa vinapotea hususani watoto wanaozaliwa kabla ya muda na wenye uzito mdogo wilayani humo.

Hata hivyo Taasisi ya SAMAKIBA ambao ni Mbwana Sammata na Ally Kiiba kwa nyakati tofauti waliwashukuru wananchi kuhudhuria mechi changizo la vifaa tiba, huku waliwashukuru wadau wote waliojitokeza kwa hali na mali kuhakikisha vifaa vinapatikana kuweza kuisaidia jamii na Serikali kwa ujumla.

Aidha, Rais Mstaafu wa awamu ya nne na mgeni rasmi wa tukio hilo Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amewashukuru na kuwapongeza SAMAKIBA kwa kuwa chachu ya kuchangia vifaa tiba  jambo ambalo ni  jema sana katika jamii hasa katika vizazi vya sasa.


Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.