• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

SHAMRASHAMRA ZA KUMBUKIZI YA MUUNGANO ZAANZA

Posted on: April 24th, 2023


KATIBU TAWALA AONGOZA ZOEZI LA USAFI WA MAZINGIRA, KUPANDA MITI NA KUWEKA JIWE LA MSINGI.

24/4/2023

Ikiwa ni maandalizi ya kuelekea kilele cha kumbukizi ya sherehe ya Muungano wa Tanzania (Tanganyika na Zanzibar) Katibu Tawala Milongo Sanga kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo, Watumishi wa Halmashauri na Taasisi wameshiriki kwa kufanya Shughuli mbalimbali za kijamii katika kituo cha Afya kibiti sambamba na  kuweka jiwe la msingi Jengo jipya la upasuaji katika kituo hicho.

Haya yamefanyika ikiwa ni maelekezo ya Mhe. Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ambapo ameelekeza kufanyika shughuli za kijamii kama vile usafi wa mazingira baada ya kuahirisha Shughuli za  gwaride la miaka 59 ya  Muungano ikiwa ni mara ya pili mfululizo tangu aingie madarakani.

Wakiwa katika kituo hicho cha Afya, Katibu Tawala Milongo Sanga ameongoza zoezi la shughuli za kijamii kwa kufanya usafi wa mazingira, kupanda miti na kuweka jiwe la msingi katika Jengo jipya la upasuaji.

Akiweka jiwe la msingi katika Jengo jipya la upasuaji kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya, Sanga amewataka wasimamizi wa mradi na mafundi kuhakikisha wanatekeleza maelekezo na kukamilisha mradi huo kwa wakati ili Jengo lianze kutumika na kutoa huduma kwa wananchi.

Akisoma taarifa ya ujenzi wa jengo jipya la upasuaji Kituo cha Afya Kibiti kwa ufadhili wa shirika la KOFIH, lenye thamani ya sh.124,500,000. Mganga Mfawidhi wa Wilaya Dkt.Yohana Kachule amesema, kukamilika kwa ujenzi huo kutaongeza wigo wa utoaji wa huduma za Afya kwa wakazi wa Wilaya ya Kibiti na maeneo ya jirani.

Vilevile Dkt. Kachule amesema, mpaka sasa ujenzi wa jengo hilo upo katika hatua za umaliziaji ambapo kazi zinazoendelea ni kufunga mfumo wa umeme, mfumo wa maji na ujenzi wa njia ya kutembelea (Walk ways) ili kuunganisha Jengo hilo na wodi ya wazazi.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.