• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

TASAF YAKAGUA SOKO LA BUNGU

Posted on: July 27th, 2023


WAJUMBE WAAGIZA KUANZA KUTUMIKA KWA SOKO HILO


Wajumbe wa Kamati ya Taifa Uongozi ya TASAF wamefanya ziara ya kutembelea na kukagua soko la Bungu lenye thamani ya sh.65,261,175.  ambapo  limejengwa kwa nguvu za wananchi kwa kuchangia kiasi cha sh 8,220,950 huku TASAF ikichangia sh 57, 040, 225.

Akizungumza na hadhara pamoja na wanufaika wa TASAF waliojitokeza Mhandisi Rogatus Mativila Mjumbe wa Kamati ya Uongozi TASAF  ( Naibu Katibu Mkuu Miundombinu TAMISEMI) amewataka wananchi kuhamia na kuanza kutumia soko la bungu huku akiwaondoa hofu kuwa, hakuna huduma ambayo iko mbali, bidhaa ikiwa sokoni wateja huifuata ilipo.

" Ndg niwatie moyo, fanyeni biashara katika soko hili, na mradi huu hatukuuleta kwa bahati mbaya, tulizingatia na kutekeleza maombi yenu" Alisema Mhandisi Mativila.

Vile vile Mhandisi Mativila amesema, kujengwa kwa soko halafu lisitumike ni uharibifu wa rasilimali fedha kwani fedha hizo hutafutwa kwa nguvu kubwa kwa ajili ya maendeleo ya wananchi, hivyo ni vema kuzitendea haki fedha zinazotolewa na Mhe.Rais.


"Tuko hapa kutembelea miradi ya Maendeleo inayofadhiliwa na TASAF, tujionee uhalisia wa namna fedha zilivyotumika" Alisema Mhandisi Mativila.

Akisoma taarifa ya ujenzi wa soko hilo ambalo kwa sasa linatumiwa na idara ya Mahakama, Mwenyekiti wa Kijiji cha Bungu A Sultan Musa Kwangale amesema, baada ya soko hilo kukamilika liliweza kutumika kwa muda wa miezi 5 pekee na wananchi kuhama kwa madai kwamba soko liko mbali.

Hata hivyo Kwangale amesema tayari wananchi wamekwisha hamasishwa na wameridhia  kurejea katika soko hilo wanatarajiwa kuanza kutoa huduma sokoni hapo mapema baada ya  Mahakama kukabidhi soko hilo ifikapo 7.8.2023 mwaka huu.

Kwa niaba ya wananchi baada ya kuridhia kufanya shughuli zao katika soko la TaSAF Kwangale amesema wanaomba Serikali iwasaidie  kiasi cha fedha kuweza kufanyiwa ukarabati sokoni hapo ikiwa ni pamoja na mabati, kupaka rangi, miundombinu ya maji na choo.


Akiwakaribisha Wajumbe wa TASAF Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo aliishukuru Serikali ya awamu ya 6 kupitia TASAF kwa namna inavyohakikisha wananchi wake wanapata maendeleo, huku akiwataka wananchi kusikiliza kwa makini ugeni huo na kufuata maelekezo.

"Nafurahishwa sana na maendeleo yanayofanywa na TASAF, tuwaunge mkono, tusiwakatishe tamaa" Alisema Kolombo.

Naye Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kibiti Ndg, Zacharia Yahya Muhidini, ameishukuru TASAF kwa kazi nzuri wanazofanya huku akiwasihi kuikumbuka kibiti katika bajeti ijayo, kwani bado kuna  walengwa ambao ni wahitaji.

Mwisho Diwani wa Bungu na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti Mhe. Ramadhan Mpendu, ameishukuru TASAF kwa kuona umuhimu wa kuufatilia mradi huo na kuishukuru Serikali kwa kuwajali Wananchi wa kibiti na Tanzania kwa ujumla.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KANALI KOLOMBO AIPONGEZA MARINE PARKS KUANZISHA MIUNDOMBINU YA KUHIFADHI NA KULINDA MATUMBAWE BAHARINI

    May 10, 2025
  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.