• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

UKAGUZI MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: February 7th, 2023

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kibiti Mohamed Mavura akiwa ameambatana na wataalam mbalimbali wa  Halmashauri, wamekagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa ndani ya Wilaya kwa vyanzo mbalimbali vya mapato ili kujionea hatua zilizofikiwa.

Wakiwa katika kata ya Dimani wamekagua mradi wa ujenzi wa  zahanati ya Nyambangala wenye thamani ya sh 72,000,000 kwa fedha za mapato ya ndani na ujenzi upo katika hatua ya ukamilishwaji.

Vilevile wamekagua mradi wa zahanati ya Kitembo katika kata ya Kibiti ambao upo katika hatua ya umaliziaji. Ujenzi huo wenye thamani ya sh 68,849,000/= ulioanza kwa nguvu za wananchi hadi hatua ya boma, na baadae kupokea kiasi cha Tsh. 50,000,000/= kutoka  Serikali kuu kwa ajili ya ukamilishwaji, hata hivyo Halmashauri iliongeza kiasi cha Tsh 18,849,000/= kwa ajili ya umaliziaji.

Mbali na miradi hiyo wamekagua ujenzi wa Jengo la  kuhifadhia maiti, Jengo la upasuaji, wodi la wanaume na wanawake katika Hospitali ya wilaya wenye thamani ya sh 800,000,000 kwa fedha za Serikali kuu ambapo ujenzi upo hatua ya umaliziaji.

Pia wamekagua mradi wa ujenzi wa nyumba 4 za walimu katika shule ya msingi Pagae iliyopo katika kata ya Bungu, unaofadhiliwa na Taasisi ya Elimu Tanzania (TEA). Mradi huo unathamani ya Tsh. 100,000,000   na upo katika hatua ya upandishaji kuta.

Vilevile katika kata ya Mjawa wamekagua Shule ya sekondari Jaribu mpakani Mradi unaotekelezwa kwa fedha za SEQUIP na kituo cha Afya Mjawa mradi unaotekelezwa kwa fedha za Tozo za Miamala ya simu.

Aidha kwa nyakati tofauti Mkurugenzi amemuagiza Mkandarasi wa Wilaya Pamoja na Idara ya manunuzi kuhakikisha kuwa vifaa vyote vinapatikana maeneo ya ujenzi kwa wakati pia  mafundi wawepo maeneo ya kazi na wahakikishe kuwa kazi inafanyika ya uhakika ili kuweza kukamilisha kwa wakati.

Mbalina hayo Bwana Mavura ameagiza kusitishwa kwa mkataba wa  Mkandarasi wa kituo cha afya Mjawa na shule ya sekondari jaribu mpakani na kutafuta fundi makini anayeweza kuendana na muda Pamoja na viwango bora vya kazi.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KANALI KOLOMBO AIPONGEZA MARINE PARKS KUANZISHA MIUNDOMBINU YA KUHIFADHI NA KULINDA MATUMBAWE BAHARINI

    May 10, 2025
  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.