• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

UKAGUZI WA UJENZI WA VYUMBA VITANO VYA MADARASA PAMOJA NA OFISI SAMBAMBA NA UKAGUZI WA KPI (KEY PERFORMANCE INDICATORS) SHULE YA MSINGI KIASI.

Posted on: March 9th, 2023

Tarehe 9/3/2023

Ujenzi wa vyumba 5 vya madarasa na ofisi ya walimu Katika shule ya msingi Kiasi wenye thamani ya sh 110 ulioanza  mwaka 2022 umekamilika na madarasa yameanza kutumika.

Timu ya usimamizi wa majengo ya shule hiyo ambayo ipo Katika Kata ya msala, imewasili na kukagua Ujenzi uliokuwa ukiendelea kwa lengo la kujionea hali halisi na kujiridhisha.

“ Tumekuja kujionea na kuhakikisha, hali halisi ya ujenzi ulipofikia, tumefarijika madarasa yamekamilika”Alisema Mlenduka.

Awali shule hiyo ilitengewa fedha kwa ajili ya ukarabati, lakini kutokana na uchakavu wa shule hiyo, kamati iliona ni vema kuvunjwa na juanza kujenga upya.

Vilevile Mlenduka amefafanua  kuwa, vyanzo vya fedha vya  Ujenzi huo wenye jumla ya sh  110,000,000, sh 100,000,000 ni fedha za serikali Kuu kupitia mradi wa EP4R na 10,000,000 ni fedha za Mapato ya ndani ya wilaya.

Aidha mtaalamu wa majengo Mhandisi msaidizi wa Wilaya Juma Kubadesha mara baada ya kuwasili shuleni hapo alikagua majengo na kuthibitisha kuwa ujenzi umekamilika kwa 100% Kubadesha amesisitiza uongozi wa shule na wanafunzi kwa ujumla kuyatunza vizuri majengo na samani zilizopo ili viweze kudumu kwa muda mrefu.

Mbali na ukaguzi wa majengo hayo, Afisa Elimu akiongozana na wasaidizi wake wamefanya ukaguzi na ufuatiliaji juu ya utekelezaji wa KPI (Key Performance Indicators) katika shule hiyo, ambapo wamejionea shule hiyo inatoa huduma ya chakula cha mchana, mkazo wa ufundishaji somo la kingereza kwa darasa la tatu upo vizuri, na katika suala la KKK darasa la 4 wote wanajua vizuri Kusoma, Kuandika na Kuhesabu isipo kuwa wanafunzi wa chache wa darasa la pili na la tatu bado wanapata shida kusoma herufi mbwambatano. Hata hivyo maandalizi ya madarasa ya mitihani yanakwenda vizuri hivyo tunategemea ufaulu utaongezeka.

Katika ziara hiyo iliyoongozwa na Afisa Elimu divisheni ya elimu msingi (DEO- P) aliambatana na Maafisa  Taaluma, Afisa Elimu Takwimu- msingi, Afisa msaidizi Mipango, SNEO na Mhandisi wa majengo.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • WANAWAKE KIBITI WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI LEO.

    March 06, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.