• Malalamiko
    • Wasiliana Nasi
    • Maswali na majibu
    • Barua pepe
KIBITI DISTRICT COUNCIL
KIBITI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo na Umwagiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama na Uhusiano
      • Nyuki
      • Uchaguzi na Utawala Bora
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Vivutio vya utalii
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Sheria
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa Umma
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Mifumo

USAFIRI WA MELI KUTOKA BANDARI YA NYAMISATI KUELEKEA MAFIA KUREJEA KAMA KAWAIDA.

Posted on: September 11th, 2024

10.09.2024.

Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Kanali Joseph Kolombo ametoa siku mbili kwa Mamlaka ya bandari na TEMESA kumpelekea taarifa ya kujieleza kuhusu chanzo  kilichosababisha usafiri wa meli kukwama kutoka bandari ya Nyamisati kuelekea Mafia kwa siku nzima.

“Ninawapa siku mbili tarehe 12.09.2024 nahitaji kupokea taarifa ya kujieleza nijue sababu ya changamoto hii" Alisema kolombo.

Kanali Kolombo amesema hayo alipokuwa akizungumza na abiria waliokwama katika bandari ya Nyamisati ambao walikuwa wakielekea Mafia.


Akiwa katika jengo la kupumzikia abiria katika Kijiji cha Nyamisati Kanali Kolombo amewataka Mamlaka ya bandari na TEMESA kuwa na tabia ya kutoa taarifa mapema wanapoona kuna viashiria vya kutokea kwa changamoto kabla haijatokea kulingana na uzoefu wao  kwani wanaoumia zaidi ni abiria (Wananchi) na hivyo kuwataka uzembe huo usijirudie tena.

Hata hivyo  Kanali Kolombo ametoa pole na kuomba radhi kwa Wananchi waliokwama bandarini hapo na kuwahakikishia kuwa tayari amekwisha wasiliana na TEMESA na mafuta yapo njiani hivyo baada ya saa chache usafiri utarejea kama kawaida ambapo safari yao ilitarajiwa kuanza saa 8 usiku kulingana na ratiba ya maji kwa sasa lakini pia kutokana na kuharibika kwa Tishari kisiwani mafia.


Akitoa ufafanuzi wa  mabadiliko ya safari hiyo Nahodha wa meli Bw. George Charles amesema moja ya sababu za usumbufu uliotokea umetokana na kuharibika kwa tishari (sehemu ya kushukua abiria)  katika mji wa mafia kwani kwasasa inawalazimu kutia nanga ufukweni mwa bahari hivyo wanajitahidi safari zao zote zitazingatia ratiba ya kupwa na kujaa kwa maji katika kisiwani mafia.

Aidha wananchi waliokwama katika bandari hiyo wamemshukuru Mhe. Kolombo kwa kusikia kilio chao na kufika kuwaona huku wakisisitiza umakini wa usimamizi wa bandari kuimarishwa zaidi ili kero hiyo isijirudie tena.

Wananchi hao walianza safari hiyo saa 8 usiku kama walivyoahidiwa na Mkuu wa Wilaya ya Kibiti na asubuhi  ya leo tarehe 11.09.2024  wakawasili Mafia.

Matangazo

  • TANGAZO LA MAJINA NA MIPAKA YA MAENEO YA UCHAGUZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBITI September 16, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI BODI YA ELIMU April 04, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA February 26, 2024
  • MWALIKO WA WATAZAMAJI February 16, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • KANALI KOLOMBO AIPONGEZA MARINE PARKS KUANZISHA MIUNDOMBINU YA KUHIFADHI NA KULINDA MATUMBAWE BAHARINI

    May 10, 2025
  • KIBITI YAPOKEA CHANJO YA MIFUGO.

    May 08, 2025
  • JAJA KUFAIDIKA NA UTALII IKOLOJIA KUPITIA FUKWE .

    May 06, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI KIBITI NA KUTEMBELEA MIRADI 13

    April 08, 2025
  • Angalia Vyote

Video za Shughuri za Ofisi au Kitaifa

More Videos

Kurasa za Haraka

  • Ajira
  • Madiwa wa sasa
  • Barua pepe
  • Wasiliana nasi
  • Malalamiko
  • Maswali na Majibu
  • Fursa za Uwekezaji
  • Maktaba ya Picha
  • Fomu Mbalimbali
  • Facebook: kibitidc

Tovuti zinazoshabiana

  • TANZANIA GOVERNMENT PORTAL
  • COAST REGION WEBSITE
  • TAMISEMI
  • PRESIDENT'S OFFICE,PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD GOVERNANCE
  • NECTA
  • TOVUTI YA AJIRA
  • IKULU
  • TANZANIA BUREAU OF STATISTIJS
  • Tume ya uchaguzi Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Kibiti

   

    • Sera binafsi
    • Kanusho
    • Maswali na majibu
    • Sitemap
    • Huduma zetu

Copyright ©DED-KIBITI 2017 . All rights reserved.